sinajinasasa
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 2,988
- 4,152
Lazima nikunyooshe! Hivi katika kufikiri kwako unaona kabisa Corona ipo?Basi usibishane nami we endelea kula unachokula that's what maishanyako yamefikia hapo kwenye uwezo wa kufikiri.
Hivi kizazi cha siku hizi mbona wajinga mno! Yaani you are very easy to be manipulated.
Marekani wanaamini sana chochote kinachosemwa na Television..au chochote kinachotoka kwenye Authority..
Hamnaga akili zenu za kutafakari?
Waambie na wenzako wavaaji wa barakoa, mtakufa kwa kuharibu mapafu yenu, mi sikujui wala hunijui, ila nakuamsha from your trance, wake up, acheni kubeba agenda za illuminatti, they don't want or lov e us...agenda yao kubwa ni microchipping ya Ai (Artificial intelligence) under our skin
Wajinga mnadhani mnapewa chanjo kuzuia Korona.