Hapa ninaongea kama mmojawapo wa matabibu kutoka kampuni kubwa sana ya tiba #1 Duniani !
Kuna aina mbili za hatua za ugonjwa / Classification of Diseases:
1. Functional level disease
2. Organic level disease.
Functional level disease is Connected with Mind/ Spirit disorder or body energy disorder
Hatua hii ya ugonjwa ni hatua ya awali ya ugonjwa , na ni rahisi kutibika
Ambapo mtu huhisi anaumwa lakini vipimo vya hospital vinamthibitisha mtu huyo kuwa hana tatizo lolote
Watu wengi sana hupambana na hatua hii ya ugonjwa
Hatua hii isiposhughulikiwa vizuri , kuna uwezekano mkubwa ugonjwa kwenda hatua ya pili .
Katika nature hatuangalii vipimo vinasemaje bali tunaangalia mwili unasemaje ( Symptoms) maana mwili ndio unaoumwa wala sio kipimo !
2. Organic level disease:
It is connected with the damage of human organs,
Watu wanapoumwa kwenye hatua hii , vipimo vitaonesha
Lakini kwa kuwa hatua hii iko kwenye Late stage hivyo na matibabu yake huwa magumu , hivyo mgonjwa kuchelewa kupona huku wengine kupoteza maisha !
Hatua hii ya ugonjwa ikigundulika mapema inaweza tibiwa!
Nirudi kwenye mada ; ni kwamba vitu anavyovisema ndugu yetu hapo ( Asali & mdalasini ) hizo ni Kitchen remedies ambazo mtu unahitaji kutumia mara kwa mara ili kukusaidia kujikinga na maradhi !
Kwa Magonjwa mbalimbali , ushauri na matibabu , kwa njia ya Traditional Chinese medicine TCM
wasiliana nasi
+255653048888
www.heshoutang.com/heshoutang-dar-es-salaam-tanzania-office