RAKI BIG
JF-Expert Member
- Apr 26, 2020
- 394
- 456
Sasa wakuu mimi binafsi nimeona tiba ya kitunguu swaum , tangawizi malimao yamekuwa mazuri sana kwangu, pia natumia sana habat souda na mrungu rungu katika kujitibu Corona
Sasa picha linaanza, kila nikikutana na demu wangu ananiambia mbona sasa show ya kibabe sana? Nikamwambia, kwanini? akanimbia mashine naisikia ime taiti kinyama misuli imekaza balaa yan inanishinda nguvu aise.
Sasa kila nikikutana na dem wangu kazi ni moja tu mpaka analalamika ikanibdi nianze kufanya uchunguzu kuuliza watu wanaotumia tiba hii ya Corona mtaani nao akanijiu hivo hivo wananiambia hata wao hayo mabadiliko yapo kwao na sasa hivi wanawakomesha sana mademu kwa kipigo ikanibid nicheke nikasema covid imekuja na tiba nyingine kwa mabaharia
NB; KWA MABAHARIA SISI CORONA KWETU HAISHI TUNAENDELEA KUJITUBU KWA KWENDA MBELE
Sasa picha linaanza, kila nikikutana na demu wangu ananiambia mbona sasa show ya kibabe sana? Nikamwambia, kwanini? akanimbia mashine naisikia ime taiti kinyama misuli imekaza balaa yan inanishinda nguvu aise.
Sasa kila nikikutana na dem wangu kazi ni moja tu mpaka analalamika ikanibdi nianze kufanya uchunguzu kuuliza watu wanaotumia tiba hii ya Corona mtaani nao akanijiu hivo hivo wananiambia hata wao hayo mabadiliko yapo kwao na sasa hivi wanawakomesha sana mademu kwa kipigo ikanibid nicheke nikasema covid imekuja na tiba nyingine kwa mabaharia
NB; KWA MABAHARIA SISI CORONA KWETU HAISHI TUNAENDELEA KUJITUBU KWA KWENDA MBELE