Tiba za asili za COVID-19 pia zinaimarisha nguzu za kiume kwa waliokua hatarini kupoteza ndoa zao

RAKI BIG

JF-Expert Member
Joined
Apr 26, 2020
Posts
394
Reaction score
456
Sasa wakuu mimi binafsi nimeona tiba ya kitunguu swaum , tangawizi malimao yamekuwa mazuri sana kwangu, pia natumia sana habat souda na mrungu rungu katika kujitibu Corona

Sasa picha linaanza, kila nikikutana na demu wangu ananiambia mbona sasa show ya kibabe sana? Nikamwambia, kwanini? akanimbia mashine naisikia ime taiti kinyama misuli imekaza balaa yan inanishinda nguvu aise.

Sasa kila nikikutana na dem wangu kazi ni moja tu mpaka analalamika ikanibdi nianze kufanya uchunguzu kuuliza watu wanaotumia tiba hii ya Corona mtaani nao akanijiu hivo hivo wananiambia hata wao hayo mabadiliko yapo kwao na sasa hivi wanawakomesha sana mademu kwa kipigo ikanibid nicheke nikasema covid imekuja na tiba nyingine kwa mabaharia

NB; KWA MABAHARIA SISI CORONA KWETU HAISHI TUNAENDELEA KUJITUBU KWA KWENDA MBELE
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…