Ramesses II
JF-Expert Member
- Sep 29, 2013
- 3,710
- 5,054
Nyie muendelee kutuzalishia mahindi ya kulishia watanzania maskini na mifugo.Mkoa wangu Ruvuma unasahaulika sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyie muendelee kutuzalishia mahindi ya kulishia watanzania maskini na mifugo.Mkoa wangu Ruvuma unasahaulika sana.
Wakati uwekezaji wa miradi Kwa mwaka 2024 ukivunja rekodi iloyowekwa mwaka 2012 kwa.kusajili zaidi.ya miradi 900 yenye thamani ya Trilioni 20 ,Kuna Mikoa ambayo ndio imenifaika zaidi na Wingi wa miradi.
Kati ya miradi 901,Jumla ya miradi 784 iliwekezwa kwenye Mikoa 10 tuu kati ya Mikoa 31 huku Mkoa wa Dsm ukiongoza na kufuatiwa na Pwani na Arusha.
View: https://www.instagram.com/p/DEo3kjuCqyx/?igsh=ZGE3ZHJxeHp1dnRj
Mikoa 10 Iliyoongoza Kuvutia miradi ya kiuwekezaji Kwa mwaka 2024 ni ifuatayo;
1.Dsm -344
2.Pwani -164
3.Arusha-61
4.Dodoma-46
5.Mwanza-36
6.Tanga -23
7.Morogoro-22
8.Kilimanjaro -18
9.Mbeya-18
10.Geita-17.
My Take
Hakuna dalili ya uwiano wa maendeleo ikiwa Dar itaendelea kushika zaidi ya nusu ya Uchumi wa Nchi.
Aidha Mikoa yote ya Kanda ya Kaskazini inaonekana kuvutia uwekezaji.
Serikali iamue Kwa makusudi kujenga Miji vitovu vya maendeleo Kila Kanda,na Hilo liwekwe kwenye Dira ya Maendeleo 2050.
View: https://x.com/InvestTanzania/status/1876523702411809041?t=zfxKAqX_fhMlzsOZXi-7Sg&s=19