peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 14,255
- 23,949
Jamaa amekufa, ila bado anaishi kichwani mwako..tena halipii hata kodiKuna mtu aliyekuwa bingwa wa kupika data zaidi ya jiwe wenu mnayemuabudu kila siku
Hadi akatunga sheria za kuzuia watu kuhoji takwimu zake feki
Misukule ya jiwe lazima tuinyooshe inapojaribu kufurukutaJamaa amekufa, ila bado anaishi kichwani mwako..tena halipii hata kodi
Sijui kwanini mmegoma kabisa kuacha akili zenu ziwaze ya mbele, huu ugonjwa wa Magufuli mlionao unawadumaza sana kiakili, nina wasiwasi taifa letu litaongeza idadi ya wapumbavu mbele ya safari, na kushika namba moja duniani.Kuna mtu aliyekuwa bingwa wa kupika data zaidi ya jiwe wenu mnayemuabudu kila siku
Hadi akatunga sheria za kuzuia watu kuhoji takwimu zake feki
We mwenyewe ni msukule wake...Maana hii thread hata haimuhusu ila umeshamleta hapaMisukule ya jiwe lazima tuinyooshe inapojaribu kufurukuta
Ccm hawana hoja tea.Sijui kwanini mmegoma kabisa kuacha akili zenu ziwaze ya mbele, huu ugonjwa wa Magufuli mlionao unawadumaza sana kiakili, nina wasiwasi taifa letu litaongeza idadi ya wapumbavu mbele ya safari, na kushika namba moja duniani.
Badala uchangie hoja iliyoko mezani, basing on current political regime, wewe ni Magufuli....jihurumieni!
Kuwaza ya mbele vizuri ni lazima ukumbuke na ya nyuma, kwa mtu mwenye akili timilifu, historia ni somo zuri sanaSijui kwanini mmegoma kabisa kuacha akili zenu ziwaze ya mbele, huu ugonjwa wa Magufuli mlionao unawadumaza sana kiakili, nina wasiwasi taifa letu litaongeza idadi ya wapumbavu mbele ya safari, na kushika namba moja duniani.
Badala uchangie hoja iliyoko mezani, basing on current political regime, wewe ni Magufuli....jihurumieni!
Seriakli ya CCM haijaanza leo kupika taarifa inazozitoa kwa umma.Vinginevyo TIC INAPIKA DATA NA KUUDANGANYA UMMA.
Wewe ndiye mjinga unayepambana na mtu ambaye alishafariki. Huu upunguani wenu hauna tofauti na kugombana na kivuli chako.Misukule ya jiwe lazima tuinyooshe inapojaribu kufurukuta
Na hili ndio jibu kwa mleta uzi ?Kuna mtu aliyekuwa bingwa wa kupika data zaidi ya jiwe wenu mnayemuabudu kila siku
Hadi akatunga sheria za kuzuia watu kuhoji takwimu zake feki