peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 14,255
- 23,949
Kituo cha Uwekezaji nchini (TIC) kimesajili jumla ya miradi 132 yenye thamani ya dola za Marekani 3.16 bilioni (takribani Sh7 trilioni) katika kipindi cha Julai hadi Novemba 2022.
Tunaomba hii miradi iliyosajiliwa Kwa kipindi hicho TIC iweke kwenye website’s ya TIC Ili watanzania waione na vijana wachangamkie ajira huko.
Vinginevyo TIC INAPIKA DATA NA KUUDANGANYA UMMA.
Tunaomba hii miradi iliyosajiliwa Kwa kipindi hicho TIC iweke kwenye website’s ya TIC Ili watanzania waione na vijana wachangamkie ajira huko.
Vinginevyo TIC INAPIKA DATA NA KUUDANGANYA UMMA.