Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 31,009
- 60,629
...mnh, by the time vijana wa mzee wa Hosea wanaidaka hii, jamaa watakuwa weshabadilisha system ya ku feed info kwenye mtandao. TAKUKURU wakivamia ofisi wanapewa mafaili yenye vumbi, ...wakati wanayapekua, wakipiga chafya mfululizo, ...wajanja wanafyonza (kuondoa) evidence kwa USB.
Mume huyu ana info zote za madhambi ya mkewe, ila kiapo cha ndoa na 'Ukweli wa maisha' vinamfunga.
Mbona wewe kakwambia??
Alafu we ungekua TAKUKURU bila yeye kujua ingekuaje???Na wewe kiapo cha urafiki kingekufunga?