Da ! Huyu mama au dada safi saaana,, mi nimempenda sana sana hasa anapoijali familia yake, anamthamini mumewe bila kujali kuwa yeye sasa mambo safi.....mi naamini anafanya hivyo ksb ana hasira na umasikini hakuipenda hata kidogo ile hali waliyokuwa wakiishi mwanzo na nahisi alijiwekea nadhiri moyoni mwake kuwa siku akivipata vijisenti lazima abadili hali ya maisha ya famili yake.,,kwa hili kweli big up!!!
Ila afanye kwa tahadhali kuubwa sana manake akishtukiwa tu ofisini kwake basi itakuwa imekula kwake....hizo investment azisambaze asiziweke zote sehemu moja (dar)...ilo la kuridhika mimi sijalielewa, hivi kweli kuna mtu analidhika na mali?? Au kila mtu ana hamu ya kuongezea zaidi ya kile alichonacho.......umasikini mbaya sana....
Big up mwanamke na endelea kuithamini familia yako ili mzidi kubarikiwa zaidi, na mpaka mumewe kafikia uamuzi wa kuomba ushauri inaonesha kuwa kati yao kuna mapenzi na kuthaminiana ndiyo maana hataki mkewe apate matatizo....lililo muhimu ni kufanya kwa tahadhari kubwa sana sana kwani nusa nusa nao hawalali.......asije kuishia lupango...