Mbu endelea kuomba maana unaweza kuta maongezi yenu yote yapo kwenye hard disk somewhere.Sasa kama ushauri waku unaegemea kwao zaidi ya kuacha ufisadi wakianguka wanakuvuta na wewe!Sweet eh?
DAH..!!!!!!!!!!!! ZA MWIZI AROBAINI!!!! ANYDAY KITANUKA!!!!!:lol: Dah..jamaa lazima awe mpole.....anaweza pewa talaka faster!!! :tongue:
mkuu mbu avatar yako ya zamani kwa nini umibadili? zamani ulitia fora na kina fidel, masanilo na ..
Mmmmmmmh!!!
Mama anataka kufuta machungu yote aliyokutana nayo kwenye safari ya maisha!!!
Sasa dah!!! Hii mikato mikato hii itakuja kumuumbua. Tena hiyo migari ya kutia wasiwasi hiyo. Pole baba, sasa baba si kichwa cha familia mbona hakukataa hayo mapato ya udhalimu tangia mwanzo?
Na najua analetewa gari ananyamaza na atalitumia, kwa nini asimkateze mke wake? Mmmmmm huyu baba naye sio kiongozi mzuri, anajifanya hapendi tabia ya mkewe, kumbe ba yeye anavitumia vizuri vijesenti vya wizi!!!
Kha mbu, hapa ndo tunataka kuona ukichwa wa mwanaume ktk kuhakikisha nyumba haipati mapato ya udhalimu bwana!!! Vipi kama huyo mama hadi dili likamilike kuna mtu anapata uroda kwanza ndo kinaeleweka? Unadhani anafanikisha hayo madili peke yake? Nyuma yake kuna mwanaume lol. Mmmmmh mwanaume hapa kachemsha......mshauri asimame kama mwanaume kama kweli haipendi tabia ya mke wake.
yea..alafu watu wanalia na ufisadi! Ushauri mwingi humu umeelekezwa kumsaidia katika kuiba! Tz imeisha, imeoza, inanuka kama jalala!
njaa nyingi tu!
...Jamani LD, hivi kuna uwezekano wa kuwa na kichwa bila moyo wa familia? Huyo mama ndio heartbeats bana.
Halafu unamlazimisha mwanaume "asimame dede" wakati mifuko inatoka vumbi? Hata wanawe watamuasi. Yataka moyo kuukumbatia Umaskini!
Basi kama ameshindwa kuwa mvumilivu, akubali matokeo bwana!!!
Yani yeye asubirie tu, litakalo mpata ajue alilitaka mwenyewe.
apunguze kutumia hela kwenye magari,afanye investment za maana zaidi ya hizo nyumba......magari ni vitu vinavyoweka attention kubwa sana na ni rahisi kushtukiwa na kufuatiliwa....kama yuko dar,wajipange yeye na mume wake wafanye investment za maana nje ya Dar na iwe siri yao.....likibumbuluka huko awe na pa kuzamia,anaweza hata kuziweka kwa majina ya ndugu......!!!!
Pia,atufikirie na sisi tunaohitaji hiyo kodi mahospitalini na kujenga miuondombinu.......aanzishe biashara amabyo itatengeneza ajira kwa wengine kupitia hiyo kodi yetu anayokula hapo.....kazi kweli kweli!!:washing:
Da ! Huyu mama au dada safi saaana,, mi nimempenda sana sana hasa anapoijali familia yake, anamthamini mumewe bila kujali kuwa yeye sasa mambo safi.....mi naamini anafanya hivyo ksb ana hasira na umasikini hakuipenda hata kidogo ile hali waliyokuwa wakiishi mwanzo na nahisi alijiwekea nadhiri moyoni mwake kuwa siku akivipata vijisenti lazima abadili hali ya maisha ya famili yake.,,kwa hili kweli big up!!!
Ila afanye kwa tahadhali kuubwa sana manake akishtukiwa tu ofisini kwake basi itakuwa imekula kwake....hizo investment azisambaze asiziweke zote sehemu moja (dar)...ilo la kuridhika mimi sijalielewa, hivi kweli kuna mtu analidhika na mali?? Au kila mtu ana hamu ya kuongezea zaidi ya kile alichonacho.......umasikini mbaya sana....
Big up mwanamke na endelea kuithamini familia yako ili mzidi kubarikiwa zaidi, na mpaka mumewe kafikia uamuzi wa kuomba ushauri inaonesha kuwa kati yao kuna mapenzi na kuthaminiana ndiyo maana hataki mkewe apate matatizo....lililo muhimu ni kufanya kwa tahadhari kubwa sana sana kwani nusa nusa nao hawalali.......asije kuishia lupango...