Tim Choice
JF-Expert Member
- Sep 28, 2013
- 2,088
- 1,261
Duuuh, blah blah nyingi tu lakini hamjiwezi, mtanzania hawezi akaongea mambo ya air travel akaskizwa na yeyote mwenye akil timamu!. Air tanzania na mapanga boi yao wamekua hoi toka shirika lianze, hio ni aibu na laana jamani. Tulishasema humu wanyarwanda wakitoa point humu tutawaskiza, wanajaribu sana, nyie na burundi kapu moja la wasiojiweza[emoji90]
Mkuu unafananisha Ethiopian airline na that your loss making KQ??
Upo kwenye Normal sense?
Hahaha, una utani na MK254Aisee Ulaya hamna watu wanajisaidia kwenye mifuko ya plastic!
Punguza jazba ndugu, it's not good for your health.
See the thing is, nyie Kenya mnaleta vitu ambavyo havina maslahi kwa Jumuiya. Mnajijali tu nyie na business community yenu ambayo ni a small group of elites in cahoots with your politicians.
Em meteni basi miradi ya elimu na afya muone kama tutakataa. Mambo ya tourism visa hayana faida kwa watu walio wengi. Na hizo EPAs.
Alafu sio kweli umesahau tulikuwa nchi ya kwanza kutia saini itifaki ya umoja wa fedha? Do you know that is one of the big pillars of integration? Tungekataa hiyo you would've had a right to speak.
Hili la ndege i don't see why Tanzania would refuse it. It's for all our benefits.
Tim Choice, wacha wivu ukweli ni kwamba ET ina sound business plan n returns! A reason big banks like Afriexim is willing to lend them! U r no way smarter than such financial institutions..
Mkuu , Absolutely those r your assumptions, and I am sure u can't bring a single evidence on table.Ethiopian ni ya masikini yajulikana kote!.....serikali yao ya ujamaa huficha financial reports zote, hujiulizi ni kwanini waethiopia hutoroka nchi yao na hufa njaa ilhali uchumi wao unasemekana unakua?...serikali ya kikatili huchukua hela zote wakazimwaga kwenye airline!...inaitwa GOVERNMENT SUBSIDIZED AIRLINE.
Kama tu vile waarabu huchukua za mafuta wakazimwaga kwenye airline zao kuficha hasara, in real sense hizo sizo biashara ,ni kapu kubwa inayomeza ushuru na fedha za umma.
Tabia za kijamaa jamaa/kikomunisti.
Hayo makampuni yakiwachiliwa yawe huria, hayataishi hata miezi mitatu tuu bila kuporomoka!...get that into your thick head!
Mkuu , Absolutely those r your assumptions, and I am sure u can't bring a single evidence on table.
Kama ET airline ni ya masikini ya Matajiri ni ipi? KQ?
What about many other private airlines making profits? Are they getting subsides from who?
And can u prove KQ haipati ruzuku serikalini?
Halafu get this deep in your cerebral hemisphere, a coin have two sides,
Ujamaa made Tz a National, kusingekuwa na Tz wala Ethiopia Bila ujamaa..
Hehehe..Halafu msijidanganye na huo "unational" sijui nyef nyef wenyu!
Hadi mtakapoig'oa chama chenyu hicho dhalimu tena kimoja tawala ndipo ntakapowaona wenye akili zenyu.
Nyie bado saana..mtakapo tia akili mtaanza mchakato wa kuiongoa hilo jitu liCCM na hapo ndipo mtakapoziona rangi zenu(ukabila/udini/mgawanyiko) za kweli pamoja na damu ya ukombozi wa kweli(ukombozi wa pili).
Hao waethiopia leo hii wapo chini ya utawala dhalimu wa mabavu na wapo chini ya STATE OF EMERGENCY sasa hivi.
Nyie nyote bado mpo matopeni.....na itapelekea vurugu za ajabu ili muingie kwenye demokrasia ya kweli...fungeni mkanda!
Sasa ulitaka utumbo utupwe??Getting desparate are we??
Same pictures Same 4 old buildings ... Same angle ....same Photographer .. .same Time of Capture .....same everything ....
Lets do this
Show me The Ground how people operate....
Tunajua Watu Dar hula Intestines za kuku na miguu kwa mama ntilie hehehe
View attachment 436608View attachment 436609View attachment 436610View attachment 436611
Hehehe..
unataka kuniaminisha kama mliitoa KANU madarakani? Au kanu changed the brand name[emoji3] [emoji3]
Ethiopia is the only Airline in Africa making ProfitsMkuu unafananisha Ethiopian airline na that your loss making KQ??
Upo kwenye Normal sense?
a reason why KQ dies and believe me next year when JPM buys two jets tutabanana nao kwenye routes naskia plan ni kuwa na frequency kama KQ iliyonayo kwa routes za Tanzania!
Says a guys calling Kenya poorer than tanzania yet WB IMF etc say TZ is an LCDTim Choice, wacha wivu ukweli ni kwamba ET ina sound business plan n returns! A reason big banks like Afriexim is willing to lend them! U r no way smarter than such financial institutions..
Hahahaha hapa umewanasaNiwekee hapa DETAILED financial reports za ET basi!
Kazi ipo[emoji23]
Zitajeshirika lipi hilo? Umelazimishwa upanda KQ? Fastjet wana rate nzuri nimetoka kuangalia sasa
Mnakuja Ulaya ....Nairobi c hvi hvi
View attachment 436518View attachment 436519View attachment 436520
Hahahaha hapa umewanasa
Ethiopia airlines financial report nikama trump tax return report
Zote ni Confidential
Not four decades since 1946 .....it just changed its name in 1977You seriously expect two new planes of a recently launched airline to beat over 50 planes of an airline that's been around for four decades? lol. This reminds me of how you used to yap about FastJet