Tim Choice
JF-Expert Member
- Sep 28, 2013
- 2,088
- 1,261
Germany
Huko siyo ulaya tena baada ya mayahye el al wa Suriyah na kwingineko kujichanganya!..hhahah...😀😀 si mmeona jinsi walokole hawawataki humo?...mmeshaugeuza nchi kuwa ya dunia ya nne vile!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Germany
Hahaa we naona unautafuta ugomvi. Ngoja wadau wakusikie.....kina dada faiza na mwenzake big bossHuko siyo ulaya tena baada ya mayahye el al wa Suriyah na kwingineko kujichanganya!..hhahah...😀😀 si mmeona jinsi walokole hawawataki humo?...mmeshaugeuza nchi kuwa ya dunia ya nne vile!
Nadhani kuna mode of scale... mkiwa wengi mnalipa kidogo, mkiwa kidogo mnalipa nyingi..
Ndege za kwenda ulaya hua si kila siku zinajaa, lakini kampuni zinajua wako guaranteed siku zote kutakua na abiria kiwango flani cha kutosha.... lakini ndege za humuhumu, kampuni hazijui kila siku itakuaje, abiria wanakuja na misimu yao, leo abiria 80, kesho abiria 15, keshokutwa abiria 30, mtondogoo abiria wanane!