Ticket ya ndege Dar-Nairobi $450, Dar-Ulaya $650. Ni sawa kweli?

Huko siyo ulaya tena baada ya mayahye el al wa Suriyah na kwingineko kujichanganya!..hhahah...πŸ˜€πŸ˜€ si mmeona jinsi walokole hawawataki humo?...mmeshaugeuza nchi kuwa ya dunia ya nne vile!
Hahaa we naona unautafuta ugomvi. Ngoja wadau wakusikie.....kina dada faiza na mwenzake big boss
 

mada ya bei za airfare east africa ata sitaki nitaje culpits ni hawa wenye kulalamika!!! si wamekataa kusign open air plans za COW ndio bei zishuke!!! tz mara am thinking abt it...keshowe anataka leo sitaki...kama msichana tu!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…