The Spirit of Tanzania
JF-Expert Member
- Mar 7, 2020
- 1,045
- 1,868
Naambatanisha ticket ya mzigo (tena nikiwa ndani ya bus).
kipengele namba 5 na namba 7 hazitakiwi kuwa hivyo.
Abood badilisheni huu utaratibu wa ticket,kwa kuwa haiwezekani mtu alipe ticket ya mzigo na upo kwenye "boot" ya bus ila mzigo ukipotea hamuwajibiki; haifai.
kipengele namba 5 na namba 7 hazitakiwi kuwa hivyo.
Abood badilisheni huu utaratibu wa ticket,kwa kuwa haiwezekani mtu alipe ticket ya mzigo na upo kwenye "boot" ya bus ila mzigo ukipotea hamuwajibiki; haifai.