Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,926
- 95,626
Usipate taabu kwa sababu huo ni mkataba kandamizi na mzigo wako ukiibiwa halafu ukawapeleka mahakamani unawashinda asubuhi sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa iko kipengele number #5, wale wafanyakazi wakupokea mizigo siwanaweza wakaiba mzigo wako wakigundua ni wa thamani kubwa, halafu ukawa huna pakwenda kuwashtaki kulingana na ayo mashart sijui terms zaoNaambatanisha ticket ya mzigo (tena nikiwa ndani ya bus).
kipengele namba 5 na namba 7 hazitakiwi kuwa hivyo.
Abood badilisheni huu utaratibu wa ticket,kwa kuwa haiwezekani mtu alipe ticket ya mzigo na upo kwenye "boot" ya bus ila mzigo ukipotea hamuwajibiki; haifai.
View attachment 1782896
Ukiibiwa laptop ni uzembe wakoKuna malalamiko mengi sana ya abiria kuibiwa laptops kwenye hayo mabasi, sasa naanza kuona chanzo huenda ni deals zilikuwa zinasukwa kupitia kipengele hicho
Sio mahakama hata tume ya ushindani wanaweza kutengua hata zile risiti wanazoandika mzigo ukinunuliwa hauwezi kurudishwa ni batili kwa mujiba wa fcc sema wengi hawana uelewaHapo wanajifurahisha tu na haya masharti sababu sheria inachoangalja katika mikataba, huwa wanaangalia je hakuna upande umependelewa. Ukiangalia sharti hilo la 5 na la 7 mahakama inaweza ikatengua sababu yamewekwa kwa upendeleo wa mtu mmoja.
Sure hawana uelewa, mie huwa nasoma halafu naishia kucheka tuSio mahakama hata tume ya ushindani wanaweza kutengua hata zile risiti wanazoandika mzigo ukinunuliwa hauwezi kurudishwa ni batili kwa mujiba wa fcc sema wengi hawana uelewa