TICTS mlipewa miaka 22 lakini mmechemsha sasa kaeni kimya tunaenda na DP World

TICTS mlipewa miaka 22 lakini mmechemsha sasa kaeni kimya tunaenda na DP World

Ngungenge

JF-Expert Member
Joined
Jun 11, 2016
Posts
2,914
Reaction score
3,386
TICTS mmebembelezwa sana juu ya kuongeza ufanisi wa kazi zenu. Mliongezwa mkataba wa miaka mitano ili mboreshe lakini mmeshindwa.

Mlipewa proposal muongeze winch za kupakia na kupakua mzigo badala yake mkaendelea kufanya kazi kienyeji. Yaani mnapata pesa nyingi lakini hamtaki kuwekeza.

Haiwezekani TICTS ifanye kazi kwa speed ya TPA ambao kimsingi tekinolojia yao iko chini

Kama mngeongeza ufanisi na kuwekeza kwenye ujenzi wa miundombimu na kuonesha nia ya kuongeza upakuaji wa mizigo serikali isingekuwa na haja ya kutafuta mwekezaji mwingine hivyo muiache serikali ifanye kazi na watu wengine

Vita yenu hamtaweza kushinda kamwe hamtaweza kushindana na serikali na kamwe hamtaweza kuishinda serikali inayoongowa na Mama Makini Dkt. Samia Suluhu Hassan

Tunawapa muda nao DP World wafanye kazi kisha tuone manadiliko tunayoyataka

MAMA KANYAGA TWENDE
 
Huu sio mkataba bali ni kuuza nchi kwa waarabu

Tanganyika haitauzwa mipango yenu mibaya Mungu ameifunua
 
TICTS mmebembelezwa sana juu ya kuongeza ufanisi wa kazi zenu. Mliongezwa mkataba wa miaka mitano ili mboreshe lakini mmeshindwa.

Mlipewa proposal muongeze winch za kupakia na kupakua mzigo badala yake mkaendelea kufanya kazi kienyeji. Yaani mnapata pesa nyingi lakini hamtaki kuwekeza.

Haiwezekani TICTS ifanye kazi kwa speed ya TPA ambao kimsingi tekinolojia yao iko chini

Kama mngeongeza ufanisi na kuwekeza kwenye ujenzi wa miundombimu na kuonesha nia ya kuongeza upakuaji wa mizigo serikali isingekuwa na haja ya kutafuta mwekezaji mwingine hivyo muiache serikali ifanye kazi na watu wengine

Vita yenu hamtaweza kushinda kamwe hamtaweza kushindana na serikali na kamwe hamtaweza kuishinda serikali inayoongowa na Mama Makini Dkt. Samia Suluhu Hassan

Tunawapa muda nao DP World wafanye kazi kisha tuone manadiliko tunayoyataka

MAMA KANYAGA TWENDE
Mkataba unasemaje?
 
TICTS mmebembelezwa sana juu ya kuongeza ufanisi wa kazi zenu. Mliongezwa mkataba wa miaka mitano ili mboreshe lakini mmeshindwa.

Mlipewa proposal muongeze winch za kupakia na kupakua mzigo badala yake mkaendelea kufanya kazi kienyeji. Yaani mnapata pesa nyingi lakini hamtaki kuwekeza.

Haiwezekani TICTS ifanye kazi kwa speed ya TPA ambao kimsingi tekinolojia yao iko chini

Kama mngeongeza ufanisi na kuwekeza kwenye ujenzi wa miundombimu na kuonesha nia ya kuongeza upakuaji wa mizigo serikali isingekuwa na haja ya kutafuta mwekezaji mwingine hivyo muiache serikali ifanye kazi na watu wengine

Vita yenu hamtaweza kushinda kamwe hamtaweza kushindana na serikali na kamwe hamtaweza kuishinda serikali inayoongowa na Mama Makini Dkt. Samia Suluhu Hassan

Tunawapa muda nao DP World wafanye kazi kisha tuone manadiliko tunayoyataka

MAMA KANYAGA TWENDE


Swali rahisi Je watu wanaelewa huo mkataba au ni ushabiki tu!
 
Sidhani kama kuna wanaopinga DPW kupewa ila wanapinga vifungu vya mkataba. DPW watasimamia bandari muda gani?
DPW wataondoka pale muda wowote hii mikataba ya kiutendaji itakapokutana na dosari ambazo kisheria zinatosha kuwa sababu ya kuvunja mkataba.

Ipo tofauti kati ya mkataba MAMA uliopitishwa bungeni na mikataba ya kiutendaji itakayotumika kuendesha shughuli za kibiashara.
 
TICTS mmebembelezwa sana juu ya kuongeza ufanisi wa kazi zenu. Mliongezwa mkataba wa miaka mitano ili mboreshe lakini mmeshindwa.

Mlipewa proposal muongeze winch za kupakia na kupakua mzigo badala yake mkaendelea kufanya kazi kienyeji. Yaani mnapata pesa nyingi lakini hamtaki kuwekeza.

Haiwezekani TICTS ifanye kazi kwa speed ya TPA ambao kimsingi tekinolojia yao iko chini

Kama mngeongeza ufanisi na kuwekeza kwenye ujenzi wa miundombimu na kuonesha nia ya kuongeza upakuaji wa mizigo serikali isingekuwa na haja ya kutafuta mwekezaji mwingine hivyo muiache serikali ifanye kazi na watu wengine

Vita yenu hamtaweza kushinda kamwe hamtaweza kushindana na serikali na kamwe hamtaweza kuishinda serikali inayoongowa na Mama Makini Dkt. Samia Suluhu Hassan

Tunawapa muda nao DP World wafanye kazi kisha tuone manadiliko tunayoyataka

MAMA KANYAGA TWENDE
Mama wa kambo alimuua baba ili apate nafasi ya kutapanya mali na mahawara zake.
 
Back
Top Bottom