Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,060
- 5,648
Legend wa Bongo Fleva, Khalid Mohamed maarufu TID, amefunguka kuhusu majuto aliyoyapata akiwa msanii. Akizungumza kwenye mahojiano na My Reply Show, TID ameeleza kwamba kitendo cha baadhi ya vituo vya Redio kuzuia kucheza nyimbo zake kwa zaidi ya miaka mitano na kukosa matamasha yao amekiri kuwa hali hiyo ilimkatisha tamaa na kumfanya ajute kuwa msanii.