TID Afichua: Nilijuta kuwa msanii kutokana na kuzuia nyimbo zangu kwenye Redio kwa Miaka Mitano

TID Afichua: Nilijuta kuwa msanii kutokana na kuzuia nyimbo zangu kwenye Redio kwa Miaka Mitano

Pole sana Kwa TID Mnyama

Wakati mwengine pamoja na vipaji vikubwa walivyonavyo wasanii wetu, suala la nidhamu ya kazi ni muhimu sana kuwa nayo.

Kusema kweli, TID Mnyama ni Legendary mwenye kipaji na sauti adhimu sana

Hebu kasikilizeni Wimbo wa Zeze pamoja na wimbo wa Asha.

The guy is so so talented

Tumpe Maua yake akiwa hai tusisubiri afariki Dunia
Bila kusahau sauti yaKe tamu ya kuhuzunisha ndani ya Wimbo wa "TUTAKUKUMBUKA DAIMA MILELE" alioshirikishwa na Crazy GK
 
Bila kusahau sauti yaKe tamu ya kuhuzunisha ndani ya Wimbo wa "TUTAKUKUMBUKA DAIMA MILELE" alioshirikishwa na Crazy GK
Jamaa ni talented sana

Kama una muda kasikilize wimbo wao unaitwa "Nilikataa" Yuko TID ft Mr Blue na Q Chief 🙌

Kuna wakati natamani wakati ungerudi nyuma, those guys were real real talented 🙏
 
Ukipata mdhamini wa kueleweka, utasepa na kijiji. Assume unabeba Wanaume TMK, Afande, Noorah, TID, Q Chief, Profesa, Wagosi nk, nani atakosa hiyo show?
Hakika Mkuu

Muziki mzuri ulikuwa zamani, miaka hii tunamisi sana hizo ladha
 
Inategemea mkuu, maana vipaji vingi pia viliingia kwenye tasnia kwa kubebwa bebwa sasa ilikuwa wakiingia kwenye mgogoro ilikuwa watu wanapandishiwa show yaani siku una show nao msanii wao ambae kipindi hicho ndo wanakuwa nae bega kwa bega ndo nae wanamwandalia show the same day, uki-cancel na wao Wana cancel na promotion za kutosha na ukifanya mchezo hata wadhamini wanaingizwa kwenye zengwe (hapa sasa kama huna kifua unatoka relini kumbe ulitakiwa ukomae na kipaji chako)

Bado that's not enough kuua kipaji cha mtu labda kama huna kipaji in the first place na hutaki kupambana.

Duniani nyanja yeyote ile ni survival of the fittest, hawa wasanii changamoto hawapitii wao tu, watu wamepambana ukisikia story zao unaweza kulia na wametoboa mwisho wa siku. Wasanii wengi wapo entitled wanadhani sababu wanafahamika basi inatosha kumbe there's more to it.

Kama mondi na Sugu waliweza basi inawezekana. Hii victim mentality na entitlement inawamaliza watu wengi sana sio bongo tu hata mbele na sio wasanii hata kwenye nyanja zingine.
 
Ningehusika mimi ningepiga spana hata kuongelea tu asingeweza. Mzembe mpige spana tu asiombe hata maji.
Duh!, mwenyewe katangulia lkn machawa bado munaendeleza tabia zake.
 
Akitoa ngoma alikuwa anaziweka kwenye flash anazi-supply bodaboda na kwenye mabus ubungo stand, safarini nyimbo zao ni bandika bandua

Mlango mmoja ukifunga mwingine unafunguka just think outside the box. Hawa kina TID, Chid Benz na wengine wenyewe wakaona sifa kukimbilia madawa wanadai ni stress, hivi stress wanazo wao tu? Watu maduka yao yameungua Kkoo na stock nzima nao wasemaje? Mbona wao hawajakimbilia madawa?
 
Duh!, mwenyewe katangulia lkn machawa bado munaendeleza tabia zake.

Spana yangu TID angekua Mpimbwe sahizi analima mbatata. Very talented, namsikiliza hadi leo and I wish him the very best ila aachane na hii mindset.
 
Clauds ilikuwa redio ya kisenge sana ,imeuwa vipaji vingi sana

USSR
Hilo gap huwa daima lipo, huwa tunawaita gate keepers 😀, na sio katika entertainment industry. Kwa sasa ipi ni ya kiseng* kama ulivyoita?
 
Back
Top Bottom