TID akamatwe kwa kumdanganya mkuu wa mkoa eti kaacha madawa ya kulevya

TID akamatwe kwa kumdanganya mkuu wa mkoa eti kaacha madawa ya kulevya

Mkuu natambua jitihada zako katika vita dhidi ya madawa ya kulevya. Ulichokiandika hapa unakijua vizuri. Hata sisi wengine tuliona kabisa ule ulikua mkakati maalum wa kuwaumiza baadhi ya watu na wala haukua na lengo la kupambana na matumizi ya dawa za kulevya.


Big up man, ukweli ubaki kuwa ukweli.
 
Back
Top Bottom