TID anasikitisha sana, apewe msaada wa haraka


Ningetamani ufunguke zaidi....kufichaficha ni kutesana tu
 
Tatizo kuiga,Anajifanya Boby Brown wa bongo
Na pale kitaa kwao ngada ndio station.Bro wake mwenyewe nae ni mshiriki mkubwa kwenye hiyo biashara.
 

Amekuwa kama kibabu maskini,na wazazi wazae
 
ngada ni tatizo ,wasanii wanaiga huu upuuzi baada ya muda woote kwisha.tid ana saut nzur kama asingeingia kwenye matakataka haya angekuwa mbal sana
 

Mwana nimejaribu kurudia kusoma lakini chenga tupu!
 
Mr. Confident mimi nadhani huhitaji kuwa na wasi wasi. Hujataja jina la mtoa taarifa. Pili kutumia madawa hakuna siri kwani mwisho wa siku utadhihirika tu. Kwa kuwa ukianza kutumia madawa unakuwa dependent on ngada na unapoikosa unakuwa doro. Sasa hapo utaficha nini na mwili unajionyesha kabisa kwamba wewe ni teja?!!

Nakubaliana na huyo msanii aliyetoa taarifa hizo ni muda tu ndo utadhihirisha hayo yote.
 
Mifano tayari wameshaiona kwa wasanii wenzao (Langa, Ngwea na Mabovu) wote wamepotea kwa upuuzi huo lakini bado hawataki kujirekebisha. So waacheni wafe tu maana washashindikana
 
Mi nampongeza sana kwa matumizi ya madawa...na aendelee tu.shida ni pesa za serikal kupitia misafara ya jk kwenda kwenye mazishi ndio zinanisumbua.

"Elimu ni muhim sana sio lazima ikuwezeshe kupata ajira"
 
Haya madawa ni shida Ila Mungu atahukumu tu kama ss tutashindwa kuchukua hatua. Inaangamiza wengi sana na wengi wanaoangamia ni hawa nyota ambao wana kipato tayari hili ni janga kama biashara ya utumwa inaharibu nguvu kazi na rasilimali watu na fedha pia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…