Wafanyabiashara wakubwa na wanasiasa wakubwa ni kina nani?
Kinondoni mbunge wao tu Iddi Azzan alituhumiwa kuuza unga
huyo msanii sio Sister P?
Who can bell the cat?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wafanyabiashara wakubwa na wanasiasa wakubwa ni kina nani?
Kinondoni mbunge wao tu Iddi Azzan alituhumiwa kuuza unga
huyo msanii sio Sister P?
Binafsi, nilibahatika kukutana na msanii wa kike wa kurap aliyewahi kutamba enzi hizo (jina nalisitiri), maana alihamia kwa muda jirani na nyumba niliyokuwa naishi last year. She is too talkative, na ni aina fulani ya watu ambao ni rahisi sana kuzoeana nao, so tulizoeana na nilifanikiwa kumuuliza masuala flani flani hivi kuhusu Muziki na wasanii...
Katika maelezo ya bidada huyu, alisema wasanii wengi wanatumia ngada. Wengi sana. Na alisema muda ukifika tutawaona dhahiri. Nikamuuliza kwani wewe hujawahi kushtua? Akakataa kata kata, akadai yeye ana vitu vyake tu, ila ngada anaiheshimu kupindukia, anaiogopa kama Ukoma!
Hakuishia hapo, alisema wengi pia ni waathirika wa HIV, na alinitajia mpaka majina (nayahifadhi), na akasema muda ukifika kila kigawe lazima kitaguswa. Alikuwa akisisitiza Muda tu. Kwamba kila kitu kitakuwa wazi muda ukifika!
Kuhusu TID pia nilimuuliza...Hakunijibu, lakini akasema 'Kinondoni haifai'.. Alinitolea mifano mingi na ushahidi mwingi kuhusu wasanii wa Kinondoni coz yeye mwenyewe alitokea huko. Alitaja historia na matukio. Aliwataja mpaka wanasiasa wakubwa na wafanyabiashara wakubwa wenye majina (huwezi kuamini) ambao wamechangia kwa kiwango kikubwa kuwaharibu wasanii..
Itoshe!
View attachment 225471
Mfano ni Chid Benz, dada wa watu kwa moyo wa msaada akamuomba amsaidie jamaa kutokana na hali aliyokuwa nayo but akaambulia matusi pamoja na kipigo kikali.
Dada wa watu bila hiyana akamsamehe maana na yeye kapitia huko na anajua watu wa hivi wasivyopenda kuambiwa ukweli.
Sasa hivi Chid yupo? Angalia muonekano wake kwa sasa, Na sasa hivi ana kesi ya kukutwa na kete wakati akisafiri kuelekea kwenye show Mtwara.
Mungu aliamua kumuumbua baada ya kumdhalilisha Ray C kwa kumpiga.
Mteja ni shoga wa pili, magari mengi bado hayajaanza kuwaka yakianza itakuwa mcharuko..madude siku hizi si ya mabongofleva peke yao ata mabongomuvi wamepokea kijiti. Tatizo la Mzee Warioba ni misosi anavunga misosi na vumbi bila misosi lazima utupambie magazeti. Na hasira zinamjia vipi maniga kibao wanakula madude alafu habari inakuwa mzee tu na watu wanawajua.
Sasa unajiita MR. CONFIDENT halafu unafichaficha mambo?!
Mwana nimejaribu kurudia kusoma lakini chenga tupu!
Wapi hujaelewa?mwenyewe sjaambulia kitu