Bila bila
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 22,168
- 39,118
Mpuuzi tu huyu, watu wamemtenga kwa sababu kaacha madawa wa kulevya? Wote wamemtenga kwa sababu hiyo isipokuwa Makonda! Huu ni udhalilishaji kwa watanzania kwani anamaanisha asiyetumia madawa ya kulevya nchi hii ni Makonda tu? Maana huwezi kumchukia mvuta bangi wakati na wewe unavuta!!Kuacha madawa kazi sana.