TID: Huwa nahonga fedha ili muziki wangu upigwe redioni, watu wamenitenga isipokuwa Makonda

TID: Huwa nahonga fedha ili muziki wangu upigwe redioni, watu wamenitenga isipokuwa Makonda

Kama kuhonga basi Diamond anahonga vizuri maana hakuna DJ ambae hapigi ngoma zake.
 
Anakosaje hela za kuhonga na yupo karibu na bilionea kijana Bashite?
 
Kutengwa na wabwia unga kusimtishe aache UNGA alafu aone kama atakosa rafiki.
 
Nilikua fan mkubwa sana wa TID, kipindi anatoa album ya kwanza ya Sauti ya Gharama nilijua fika atakuwa international musician.. ila alijipoteza mwenyewe... anachotakwa sasa apumzike muziki wa majukwaani, ajipange kiafya na muda huo arecord nyimbo. Then aanze upya-rebranding..after one year arudi upya na haya mambo ya bashite yatakua yameisha
Ni Sauti Ya Dhahabu mkuu
 
Back
Top Bottom