Nilikua fan mkubwa sana wa TID, kipindi anatoa album ya kwanza ya Sauti ya Gharama nilijua fika atakuwa international musician.. ila alijipoteza mwenyewe... anachotakwa sasa apumzike muziki wa majukwaani, ajipange kiafya na muda huo arecord nyimbo. Then aanze upya-rebranding..after one year arudi upya na haya mambo ya bashite yatakua yameisha