TID kumburuza Steve Nyerere mahakamani

TID kumburuza Steve Nyerere mahakamani

Wasanii wengi nchi hii ni mabigG tena yale feki,,yanatafunwa na wanasiasa na kutemwa popote,hata chooni yanaachwa bila kujitambua yanahamia tena kungine,SHUBAAMIT.
 
TID amesema atampeleka Steve Nyerere mahakamani ili Athibitishe Kuwa aiipewa Sh milioni 2 na DB ili ajitokeze mbele ya hadhara kupiga vita madawa ya kulevya..

Source: EATV e~Newz
DB unamaanisha Daudi Bashite? Ha ha haaaa,,,,, safari hii hatapumua hata kidogo ameyataka mwenyewe!!
 
amepeleke tu hawezi kutajataja majina ya wakubwa kuwa kumridhisha mama wema.
 
Wenzie wanateketea ye anasema wanapewa hela
 
TID amesema atampeleka Steve Nyerere mahakamani ili Athibitishe Kuwa aiipewa Sh milioni 2 na DB ili ajitokeze mbele ya hadhara kupiga vita madawa ya kulevya..

Source: EATV e~Newz
DB stands for ???????
 
amepeleke tu hawezi kutajataja majina ya wakubwa kuwa kumridhisha mama wema.

Mimi simkubali huyo nyerere lakn kwa maongez yale hamna kesi, mahakaman hakuna majina kama TID . Katika clip ile hajataja jina lake halisi. So atashindwa asubuhi kweupe. Sema alitaka tumsikie tumemsikia
 
Mimi simkubali huyo nyerere lakn kwa maongez yale hamna kesi, mahakaman hakuna majina kama TID . Katika clip ile hajataja jina lake halisi. So atashindwa asubuhi kweupe. Sema alitaka tumsikie tumemsikia

hapo ndipo sheria zinaponishindaga noma sana kweli jina la kiserikali ni khalid
 
Mimi simkubali huyo nyerere lakn kwa maongez yale hamna kesi, mahakaman hakuna majina kama TID . Katika clip ile hajataja jina lake halisi. So atashindwa asubuhi kweupe. Sema alitaka tumsikie tumemsikia
Mbona aliitwa central kwa jina hilo na alienda?
 
DB unamaanisha Daudi Bashite? Ha ha haaaa,,,,, safari hii hatapumua hata kidogo ameyataka mwenyewe!!
Alisahau ule usemi kabla hujaanzisha vita hakikisha kwako umeshaimarisha ulinzi[emoji3][emoji3][emoji3]
 
TID amesema atampeleka Steve Nyerere mahakamani ili Athibitishe Kuwa aiipewa Sh milioni 2 na DB ili ajitokeze mbele ya hadhara kupiga vita madawa ya kulevya..

Source: EATV e~Newz
DB ni nani?
 
Back
Top Bottom