Tid kutukana kwenye redio we... Ulimkaza zamani ulikuwa na maana gani we mhuni

ile ni redio ya wahuni watangazaji wake wote wanaropoka maneno ya hovyo wakiongozwa na kipind cha jahaz, pb, xxl leo tena wajinga sana hasa kibonde, mchomvu na wengine wengi ctawataja mnajijua, redio huwezi kusikiliza ukiwa na wazazi

ndugu umenisaidia nlitaka kusema hivi hivi! wachache hapa nchini ndo tuna ujinga wa clouds na unyonyaji wao..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…