Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 57,951
- 32,619
Mi nasema kuna waumini wamedandia hizi fani za muziki
nahisi next tym clouds mpange jinsi gani ya kualika sio kila mtu anaalikwa kuimba mtaalika wahuni
majuzi nikitoka kazini alishereheshwa jina la tid baadae akapewa mike aonge katika kuongea akaanza kusema maneno kibao mazuri he akamalizia kama wema nilimkaza zamani
sasa sidhani ni wakati wa kualika wahuni kama hawa kwenye matamasha yenu
na sidhani ni sehemu ya kuonyeshana umwamba wa maisha yenu ya ...........................
Sikupendezwa na hili ruge naamini atarudi kuomba radhi kwenye redio yenu else msikubali awepo tena kwenye maonyesho yenu anawazazalilisha else wote mnaonekana kama tid
nahisi next tym clouds mpange jinsi gani ya kualika sio kila mtu anaalikwa kuimba mtaalika wahuni
majuzi nikitoka kazini alishereheshwa jina la tid baadae akapewa mike aonge katika kuongea akaanza kusema maneno kibao mazuri he akamalizia kama wema nilimkaza zamani
sasa sidhani ni wakati wa kualika wahuni kama hawa kwenye matamasha yenu
na sidhani ni sehemu ya kuonyeshana umwamba wa maisha yenu ya ...........................
Sikupendezwa na hili ruge naamini atarudi kuomba radhi kwenye redio yenu else msikubali awepo tena kwenye maonyesho yenu anawazazalilisha else wote mnaonekana kama tid
