Picha ndio by courtesy of ruge mutahaba na sio contentTuwe tunatumia vichwa vyetu kufikiria. Unahisi mwandishi ameandika "...by courtesy of Ruge Mutahaba" kwa kujitakia au kwa kuwa huo ndio ukweli? Kesi ya namna hii mwandishi ni shahidi, na ngoja tuone itakuwaje
This is name calling. Na kwa sheria za Jf ni kinyume na sheria kufanya hivi na adhabu yake haipungui kifungo cha siku 30. Sito kureport lakini nakukumbusha kuwa unaenda kinyume na sheria za jukwaa.Sawa Braza Ruge kwa kulijibu hili
Sioni sehemu wameandika "Picture by Courtesy of Ruge Mutahaba". We una page yote kamili ya hiyo magazine mkuu? Otherwise hatuwezi kuconclude kuwa kilichoandikwa hapo ni "Picture by courtesy of Ruge Mutahaba". Inaweza kuwa habari yote pia, na si pichaPicha ndio by courtesy of ruge mutahaba na sio content
This is name calling. Na kwa sheria za Jf ni kinyume na sheria kufanya hivi na adhabu yake haipungui kifungo cha siku 30. Sito kureport lakini nakukumbusha kuwa unaenda kinyume na sheria za jukwaa.
Uhitaji kuwa huyo uliyomtaja kuyafahamu
Kabisa yani ukijipendeza kwa Anti B12 ndo nyimbo zako zinapigwa clouds Ftatizo la wasanii wa bongo sio wamoja halafu wanaunafiki na kujipendekeza pendekeza
Nakubaliana na wewe, inawezakana the writer ndie ndie alikosea kwenye andiko Lake kwamba clouds ndio producer wa hilo songi.Kwanza ili aende kudai haki anayo sema ni haki ahakikishe wimbo wake ulisajiliwa basata kipindi unatoka na unaonesha ni wake ...napia ahakikishe hiyo million miatano inaendana na madai yeke.
Lakini ambacho naweza sema Sidhani kama hapa kuna case lakini nahisi kuna mtu kaanza kuchanganyikiwa maana najiuliza alikuwa wapi?
Halafu huo ni mkataba au article? hiyo article imeandikwa na CLOUDS fM au ni mwandishi tuu alikosea?
Nilitegemea kuona makosa ya Clouds Fm hadi sasa siyaoni..najiuliza kama Clouds FM hawakuwa na haki ya kupata malipo ilikuwaje wakalipwa na siku zote T.I.D alikaa kimya?
T.I.D aseme ni wapi Clouds wamekosea na aweke contract ili watu waone jinsi makubaliano yalivyo kiukwa....