joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 17,420
- 35,765
Uko sahihi !!!!!Nimeangalia kipindi duh uyu TID alitakiwa awe hosp kwa ajili kuchekiwa afya yake ya akili hayuko sawa.
Ha haha haha ...sijaangalia hiyo clip ..but najaribu Ku imagine jinsi ambavyo Jamaa anavyo ongeaga kwa mapose aisee""...Nikadhani hilo naliona peke yangu
Jamaa anaonekana yuko under drug influence
Haha haha kumbe interview alikuwa anafanyiwa na wasafi "" sasa jibu si rahis tu "" kuwa maadui wawili wameungana ili kupambana na jambazi kuu ruge ""...Fuatilia uyu TID akiwa anahojiwa utaelewa achana na hii ya leo pale Wasafi Tv ila siku hizi anaongea vitu ambavyo havipo mfn leo anakuambia hata kifo cha Sam wa Ukweli hao Clouds wamesababisha(hajawataja moja kwa moja) haiwezekani wakongwe wote wawe wamefeli kisa Ruge nadhani ulimsikia Dully baadae kuna tofauti kati yao.
kulia lia huyo ndio kawaida Yke "" nakumbuka kuna mwaka alitoaga shit kuhusu clouds hivyo hivyo "" baadae wakamuita na kumpa kidogo kitu ...basi akapanda kwenye jukwaa la fiesta " alisahau lawama zote na ubaya aliokuwa anasema kwamba wamemfanyia....Aha tumechoka na kulia lia kwa wasanii kuhusu mawingu mtu akichoka tu ata lalamikia mawingu mbona wakati wana shine wao tulikuwa hatusikii wasanii wengine wakilalamika tena radio zilikuwa chache tu sembuse Leo kila mkoa una radio zaidi ya mbili na kila aina ya mitandao ya kijamii .hawa jamaa wakubali tu game imekuwa tafu cozi hata wasanii na wenyewe wamekuwa wengi kila siku zinatoka nyimbo mpya.kila kitu na wakati wake,Muda ni mwalimu mzuri sana.
Wakabwie unga huko af waje wasemekawasaidia kuwapigia ngoma zake..but kawanyonya sana
Ha haha hahaha haha trueHuyu pimbi tuu hajielewi keshamaliza urithi wake kwa kubwia unga ajabu anaanza kutafuta wa kumlaumu.Hivi mateja wataacha lini tabia ya kulaumu watu kwenye makosa wanayofanya wenyewe?Teja mnunulie chakula kila siku ila siku moja ukimwambia hali mbaya utasikia milawama yake.
haujawahi " kuniangusha ""well said mkuu leo kuna redio nyingi mtandao usiseme hadi watu wamekuwa ma star kupitia instagram, wasanii wengine wametokea via instagram. Msanii akiona kwa sasa anashindwa trend asisingizie clouds akubari kuwa raia zishamchoka na raia wakikuchoka hata uimbe nini hawakuelewi
Free thinking is a superpower
Sio kwa mapozi, kitejaHa haha haha ...sijaangalia hiyo clip ..but najaribu Ku imagine jinsi ambavyo Jamaa anavyo ongeaga kwa mapose aisee""...
Wapuuz hao wakipiigika tu wanawasukumia lawama wakina ruge hata kama wananyonywa lkn siyo wa %100 wasanii tu Hawana nidhamu ya kutunza fedha, wanafikiri Maisha ni yale yaleKwanini watu wasipofanya bidii na huyu kwa kupitia maunga etc.. wanapenda kuwasingizia Clouds?
Hivi kwani wanabeba akili au miili yao na kuiburuza huku na kule?
Nashangaaa
So, what feelings expressed by Kanye, slavery was a choice?
Free thinking is a superpower
Swahili people are not used to freedom of speech.
Hapo ndipo ujue anatafuta kiki tu hana lolote.Hivi katika magirl friends wake wote anamkumbuka Wema Sepetu tu?