TID mnyama awadisi Clouds kwa kuua Mziki/ Awahusisha na majanga kwa wasanii.

TID mnyama awadisi Clouds kwa kuua Mziki/ Awahusisha na majanga kwa wasanii.

Washachelewa na washapigwa wavumilie tu. Alitakiwe ashtuke kipindi kile yupo ktk peak, sasa hivi kashachelewa na hawa jamaa ukiwa ktk peak wanakunyenga nyenga na promo zao, ili upige show za bure ukija shtuka tayari tena, giza lishaingia. Ndio hivyo apambane na hali yake.Ila chipukizi wajifunze kupitia yy na wafute mawazo ya kwamba cloudsfm ndio kila kitu, wawekeze ktk social network.
 
Nikadhani hilo naliona peke yangu
Jamaa anaonekana yuko under drug influence
Ha haha haha ...sijaangalia hiyo clip ..but najaribu Ku imagine jinsi ambavyo Jamaa anavyo ongeaga kwa mapose aisee""...
 
Fuatilia uyu TID akiwa anahojiwa utaelewa achana na hii ya leo pale Wasafi Tv ila siku hizi anaongea vitu ambavyo havipo mfn leo anakuambia hata kifo cha Sam wa Ukweli hao Clouds wamesababisha(hajawataja moja kwa moja) haiwezekani wakongwe wote wawe wamefeli kisa Ruge nadhani ulimsikia Dully baadae kuna tofauti kati yao.
Haha haha kumbe interview alikuwa anafanyiwa na wasafi "" sasa jibu si rahis tu "" kuwa maadui wawili wameungana ili kupambana na jambazi kuu ruge ""...
 
Aha tumechoka na kulia lia kwa wasanii kuhusu mawingu mtu akichoka tu ata lalamikia mawingu mbona wakati wana shine wao tulikuwa hatusikii wasanii wengine wakilalamika tena radio zilikuwa chache tu sembuse Leo kila mkoa una radio zaidi ya mbili na kila aina ya mitandao ya kijamii .hawa jamaa wakubali tu game imekuwa tafu cozi hata wasanii na wenyewe wamekuwa wengi kila siku zinatoka nyimbo mpya.kila kitu na wakati wake,Muda ni mwalimu mzuri sana.
kulia lia huyo ndio kawaida Yke "" nakumbuka kuna mwaka alitoaga shit kuhusu clouds hivyo hivyo "" baadae wakamuita na kumpa kidogo kitu ...basi akapanda kwenye jukwaa la fiesta " alisahau lawama zote na ubaya aliokuwa anasema kwamba wamemfanyia....
 
  • Thanks
Reactions: 7ve
Huyu pimbi tuu hajielewi keshamaliza urithi wake kwa kubwia unga ajabu anaanza kutafuta wa kumlaumu.Hivi mateja wataacha lini tabia ya kulaumu watu kwenye makosa wanayofanya wenyewe?Teja mnunulie chakula kila siku ila siku moja ukimwambia hali mbaya utasikia milawama yake.
Ha haha hahaha haha true
 
well said mkuu leo kuna redio nyingi mtandao usiseme hadi watu wamekuwa ma star kupitia instagram, wasanii wengine wametokea via instagram. Msanii akiona kwa sasa anashindwa trend asisingizie clouds akubari kuwa raia zishamchoka na raia wakikuchoka hata uimbe nini hawakuelewi
haujawahi " kuniangusha ""
 
hahahaha imebidi nicheke tuu maana huyu jamaa dish limeyumba mazima....yani wasanii wanapenda sana kumsingizia Ruge...
 
Probably what he say is true,recently we have observed a number of music artist dying of things like being frustrated..
 
Kwanini watu wasipofanya bidii na huyu kwa kupitia maunga etc.. wanapenda kuwasingizia Clouds?
Hivi kwani wanabeba akili au miili yao na kuiburuza huku na kule?
Nashangaaa
Wapuuz hao wakipiigika tu wanawasukumia lawama wakina ruge hata kama wananyonywa lkn siyo wa %100 wasanii tu Hawana nidhamu ya kutunza fedha, wanafikiri Maisha ni yale yale

Ova
 
Pombe,wanawake,kumbi za starehe ndio maisha yao ya kila siku wakipigika wanaanza kumtafuta mchawi.
 
Hivi katika magirl friends wake wote anamkumbuka Wema Sepetu tu?
 
  • Thanks
Reactions: 7ve
Back
Top Bottom