TID ni aina ya watu ambao kwenye jamii inapaswa tuwe nao makini sana

TID ni aina ya watu ambao kwenye jamii inapaswa tuwe nao makini sana

Daah Naseeb kazingua sanaa kwenye ile list yake, watoto wanuka mavi kawajaza kibao kwenye hiyo train, Mungu asaidie isipinduke tu maana naona kabisa kuna kutifuana kabisa ndani humo.
 
Hahaha Pro WCB __Bhana. So hizi siku zote alizokuwa anakwenda na ndege ilikuwaje... Kwanini hakuanza yeye kwenda na train mpaka asubiri clouds wafanye

Simchukii diamond na appreciate hustle zake.. But truth must be told clouds wapo vizuri Mano kwenye ubunifu
Du...kwa hiyo kwa vile walianza Clouds wengine wasifanye.
Mwishowe mtasema wasipande magari kwa vile clouds walianza tour za magari wa kwanza.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa hiyo clouds kusafiri na precision air kwenye tour za fiesta 2019 waliiga wasafi festival? maana miaka yote walikua wanajazana kwenye coaster
😂😂mjini umekuja juzi nini..?? Clouds walikuwa wana safiri na precision air tangu enzi wanadhaminiwa na serengeti lager . hiyo wasafi festival siinamiaka mi3 tu tangu ianzishwe.. Kama kitu huwa hamjui muwe mnauliza tuwaambie
 
Dar kweli watu hawana ratiba!...yaani wamebebwa kama nguruwe wengine hapo hawana hata mia!!...baada ya hapo wakiambiwa tena twendeni sumbawanga bure wanaenda sijui kazi zao wanafanya saa ngapi!!
 
Dar kweli watu hawana ratiba!...yaani wamebebwa kama nguruwe wengine hapo hawana hata mia!!...baada ya hapo wakiambiwa tena twendeni sumbawanga bure wanaenda sijui kazi zao wanafanya saa ngapi!!
😂😂😂
 
Katika jamii yoyote ile ya watu, kuna baadhi ya watu ambao ni mabingwa wa kung'ata na kupuliza , akiwa na wewe atakusifia na kukupa kila aina ya sifa na kujifanya ni mwema sana kwako na kuwaponda vibaya mno wale ambao wapo kinyume na wewe ila ukimpa kisogo tu kibao kinageuka kwako wewe sasa ndo atakuongelea vibaya na wale aliokuwa anawaponda ataenda kuwapelekea umbea na kukuponda wewe.

Sasa huyu jamaa anayejiita Top In Dar au ukipenda muite mzee kigogo ,Warioba, mzee wa kuganda hewani , mzee wa inakuja inakata ni dizaini ya hao watu.

T.I.D anajua sana kumpaka mtu mafuta kwa mgongo wa chupa ila sasa ukimpa kisogo tu utapondwa ile mbaya.

Mfano mzuri ni kuhusu ushindani uliopo kati ya Wasafi/Diamond Platnumz na Clouds Media jamaa akiwa kwa Diamond anamsifia kinoma na kumpa kila aina ya sifa , akienda Clouds inakuwa kinyume chake anasifia sana Clouds na kumponda mbaya Diamond Platnumz.

T.I.D aligombana mpaka na swahiba wake wa kitambo QChillah kutokana na tabia hii hii ya majungu na ufitini sasa sijajua kukaa kinondoni kumemfanya kuwa na tabia hizi, maana kinondoni kunaongoza kuwa na watu wanafiki wanafiki.

View attachment 1305835View attachment 1305836

Sent using Jamii Forums mobile app
Mtoto wa mjini huyu, hana team kabisa,

Lazima usome alama za nyakati,, hana mda wa kulamba watu nyayo,,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbona safari ya walio igwa sija isikia ata iki trend kuna tatzo ule upande kwani[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Hahaha Pro WCB __Bhana. So hizi siku zote alizokuwa anakwenda na ndege ilikuwaje... Kwanini hakuanza yeye kwenda na train mpaka asubiri clouds wafanye

Simchukii diamond na appreciate hustle zake.. But truth must be told clouds wapo vizuri Mano kwenye ubunifu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbona safari ya walio igwa sija isikia ata iki trend kuna tatzo ule upande kwani[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]

Sent using Jamii Forums mobile app
So Kama umeingia mjini juzi.. Baada ya kutoka kwenu iIeje.. Hiyo safari ungeisikia vipi... Wakati ulikuwa unaishi sehemu ambayo network ikipatikana mnakusanyika kijiji kizima chini ya muembe nakupiga simu
 
Chid Benz kaenda? Maana Steji bila Chidi, Mr Blue au Ney wa Mitego haijajamilika.


Nimeona interview ya Dudu Baya kule youtube anasema bora Chid Benz hakwenda maana angeibia watu simu kwenye treni. Yaani haya mambo mengine ni burudani kuliko hata huo mziki wao.
 
So Kama umeingia mjini juzi.. Baada ya kutoka kwenu iIeje.. Hiyo safari ungeisikia vipi... Wakati ulikuwa unaishi sehemu ambayo network ikipatikana mnakusanyika kijiji kizima chini ya muembe nakupiga simu
Studio ya sasa hiv ya clouds wameiga wasafi mbona hatuongei.Me nipo dar ninaishi kimara na pia nipo kwenye kwenye insta na Facebook na nimfatiliaji mzuri wa entertainment sijawahi kusikia Hiyo treni inayopandwa na clouds hao clouds Kama unawavika umungu wavike wewemwenyewe ila usitulazimishe wengine.
 
Studio ya sasa hiv ya clouds wameiga wasafi mbona hatuongei.Me nipo dar ninaishi kimara na pia nipo kwenye kwenye insta na Facebook na nimfatiliaji mzuri wa entertainment sijawahi kusikia Hiyo treni inayopandwa na clouds hao clouds Kama unawavika umungu wavike wewemwenyewe ila usitulazimishe wengine.
Hiyo studio ya Clouds Kusaga aliionyeshwa mbona kitambo tu kabla ya Wasafi kuonyesha ya kwao kwa kuruka live??!!..ilikuwa kwenye miaka 19 ya Clouds..
 
Back
Top Bottom