TID ni aina ya watu ambao kwenye jamii inapaswa tuwe nao makini sana

TID ni aina ya watu ambao kwenye jamii inapaswa tuwe nao makini sana

Hahaha Pro WCB __Bhana. So hizi siku zote alizokuwa anakwenda na ndege ilikuwaje... Kwanini hakuanza yeye kwenda na train mpaka asubiri clouds wafanye

Simchukii diamond na appreciate hustle zake.. But truth must be told clouds wapo vizuri Mano kwenye ubunifu
Clouds ni taasisi ya habari(media house) Diamond ni msanii, si sahihi kuwalinganisha.

Diamond alinganishwe na wasanii wenzake tena kuhusu kazi zao za sanaa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiyo studio ya Clouds Kusaga aliionyeshwa mbona kitambo tu kabla ya Wasafi kuonyesha ya kwao kwa kuruka live??!!..ilikuwa kwenye miaka 19 ya Clouds..
Acha uongo usitundangaje dunia ya sasa IPO wazi tunaona kila kitu.
 
Studio ya sasa hiv ya clouds wameiga wasafi mbona hatuongei.Me nipo dar ninaishi kimara na pia nipo kwenye kwenye insta na Facebook na nimfatiliaji mzuri wa entertainment sijawahi kusikia Hiyo treni inayopandwa na clouds hao clouds Kama unawavika umungu wavike wewemwenyewe ila usitulazimishe wengine.
Itakuwa unatumia tecno pop1 haioneshi picha au ukigoogle picha ya gari inakuletea picha ya punda,
 
Acha uongo usitundangaje dunia ya sasa IPO wazi tunaona kila kitu.
Wewe kijana tunakujua ni kilaza sana humu JF..mimi naongea fact wewe unaleta ujinga ujinga wako..Nenda Youtube usearch studio mpya za Clouds uone hiyo video ilipandishwa lini na uje na hiyo tarehe ya studio za wasafi ilipokuwa revailed??
 
Katika jamii yoyote ile ya watu, kuna baadhi ya watu ambao ni mabingwa wa kung'ata na kupuliza , akiwa na wewe atakusifia na kukupa kila aina ya sifa na kujifanya ni mwema sana kwako na kuwaponda vibaya mno wale ambao wapo kinyume na wewe ila ukimpa kisogo tu kibao kinageuka kwako wewe sasa ndo atakuongelea vibaya na wale aliokuwa anawaponda ataenda kuwapelekea umbea na kukuponda wewe.

Sasa huyu jamaa anayejiita Top In Dar au ukipenda muite mzee kigogo ,Warioba, mzee wa kuganda hewani , mzee wa inakuja inakata ni dizaini ya hao watu.

T.I.D anajua sana kumpaka mtu mafuta kwa mgongo wa chupa ila sasa ukimpa kisogo tu utapondwa ile mbaya.

Mfano mzuri ni kuhusu ushindani uliopo kati ya Wasafi/Diamond Platnumz na Clouds Media jamaa akiwa kwa Diamond anamsifia kinoma na kumpa kila aina ya sifa , akienda Clouds inakuwa kinyume chake anasifia sana Clouds na kumponda mbaya Diamond Platnumz.

T.I.D aligombana mpaka na swahiba wake wa kitambo QChillah kutokana na tabia hii hii ya majungu na ufitini sasa sijajua kukaa kinondoni kumemfanya kuwa na tabia hizi, maana kinondoni kunaongoza kuwa na watu wanafiki wanafiki.

View attachment 1305835View attachment 1305836

Sent using Jamii Forums mobile app
Na wewe ni kama TID tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
So Kama umeingia mjini juzi.. Baada ya kutoka kwenu iIeje.. Hiyo safari ungeisikia vipi... Wakati ulikuwa unaishi sehemu ambayo network ikipatikana mnakusanyika kijiji kizima chini ya muembe nakupiga simu
Kaka Mungu anakuona 😂😂😂
 
TID anadeal na trends. No agenda, no hard feelings. Si unaona zimemrudisha kwenye game?

Tasnia ya burudani iko matured sana. Msanii anaweza kuwa relevant kwa drama na lifestyle tu sio lazima afanye ngoma kali. Ndio upepo wa TID ulivyo kwa sasa.

Angalia hata AKA zake siku hizi; Mzee Kigogo, Warioba, Mnyama, Powerbank, Mzee wa Kokoto na mengine.

He mastered it.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dar kweli watu hawana ratiba!...yaani wamebebwa kama nguruwe wengine hapo hawana hata mia!!...baada ya hapo wakiambiwa tena twendeni sumbawanga bure wanaenda sijui kazi zao wanafanya saa ngapi!!
Kama mtu hakuombi pesa ya kula unasemaje hana kazi, pia hujui hii ni Holiday muda ambao wenzio wanawekeza wewe unacheza wanapotumia unalia..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unajitia aibu umri wako itakuwa bado mdogo km ulikuwa umepevuka ungejua kuwa clouds waliishafanya shoo Kwenye treni muda mrefu sana.
Pia waliwahi kutaka kufanya Kwenye boti/meli lkn nadhani waligomewa na serikali sababu za kiusalama sikumbuki km walifanya tena.
Ulikuwepo wakati huo clouds wanafanya concert kwa shule za secondary pale empire theatre enzi hizo? Nadhani ilikuwa 93-96 miaka hiyo.
Studio ya sasa hiv ya clouds wameiga wasafi mbona hatuongei.Me nipo dar ninaishi kimara na pia nipo kwenye kwenye insta na Facebook na nimfatiliaji mzuri wa entertainment sijawahi kusikia Hiyo treni inayopandwa na clouds hao clouds Kama unawavika umungu wavike wewemwenyewe ila usitulazimishe wengine.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom