Du...kwa hiyo kwa vile walianza Clouds wengine wasifanye.Hahaha Pro WCB __Bhana. So hizi siku zote alizokuwa anakwenda na ndege ilikuwaje... Kwanini hakuanza yeye kwenda na train mpaka asubiri clouds wafanye
Simchukii diamond na appreciate hustle zake.. But truth must be told clouds wapo vizuri Mano kwenye ubunifu
Du...kwa hiyo kwa vile walianza Clouds wengine wasifanye.
Mwishowe mtasema wasipande magari kwa vile clouds walianza tour za magari wa kwanza.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hiyo clouds kusafiri na precision air kwenye tour za fiesta 2019 waliiga wasafi festival? maana miaka yote walikua wanajazana kwenye coasterKwahiYo Na wao wanaiga.... Halafu bado wanakataa uwezo walionao clouds katika ubunifu
😂😂mjini umekuja juzi nini..?? Clouds walikuwa wana safiri na precision air tangu enzi wanadhaminiwa na serengeti lager . hiyo wasafi festival siinamiaka mi3 tu tangu ianzishwe.. Kama kitu huwa hamjui muwe mnauliza tuwaambieKwa hiyo clouds kusafiri na precision air kwenye tour za fiesta 2019 waliiga wasafi festival? maana miaka yote walikua wanajazana kwenye coaster
ImagineJiongeze kiakili kidogo daa!
😂😂😂Dar kweli watu hawana ratiba!...yaani wamebebwa kama nguruwe wengine hapo hawana hata mia!!...baada ya hapo wakiambiwa tena twendeni sumbawanga bure wanaenda sijui kazi zao wanafanya saa ngapi!!
Mtoto wa mjini huyu, hana team kabisa,Katika jamii yoyote ile ya watu, kuna baadhi ya watu ambao ni mabingwa wa kung'ata na kupuliza , akiwa na wewe atakusifia na kukupa kila aina ya sifa na kujifanya ni mwema sana kwako na kuwaponda vibaya mno wale ambao wapo kinyume na wewe ila ukimpa kisogo tu kibao kinageuka kwako wewe sasa ndo atakuongelea vibaya na wale aliokuwa anawaponda ataenda kuwapelekea umbea na kukuponda wewe.
Sasa huyu jamaa anayejiita Top In Dar au ukipenda muite mzee kigogo ,Warioba, mzee wa kuganda hewani , mzee wa inakuja inakata ni dizaini ya hao watu.
T.I.D anajua sana kumpaka mtu mafuta kwa mgongo wa chupa ila sasa ukimpa kisogo tu utapondwa ile mbaya.
Mfano mzuri ni kuhusu ushindani uliopo kati ya Wasafi/Diamond Platnumz na Clouds Media jamaa akiwa kwa Diamond anamsifia kinoma na kumpa kila aina ya sifa , akienda Clouds inakuwa kinyume chake anasifia sana Clouds na kumponda mbaya Diamond Platnumz.
T.I.D aligombana mpaka na swahiba wake wa kitambo QChillah kutokana na tabia hii hii ya majungu na ufitini sasa sijajua kukaa kinondoni kumemfanya kuwa na tabia hizi, maana kinondoni kunaongoza kuwa na watu wanafiki wanafiki.
View attachment 1305835View attachment 1305836
Sent using Jamii Forums mobile app
Sijui hata umeelewa nilichokiongea Au ume kurupuka tu kunijibu kutokana na mihemko ya kiushabikiDu...kwa hiyo kwa vile walianza Clouds wengine wasifanye.
Mwishowe mtasema wasipande magari kwa vile clouds walianza tour za magari wa kwanza.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha Pro WCB __Bhana. So hizi siku zote alizokuwa anakwenda na ndege ilikuwaje... Kwanini hakuanza yeye kwenda na train mpaka asubiri clouds wafanye
Simchukii diamond na appreciate hustle zake.. But truth must be told clouds wapo vizuri Mano kwenye ubunifu
So Kama umeingia mjini juzi.. Baada ya kutoka kwenu iIeje.. Hiyo safari ungeisikia vipi... Wakati ulikuwa unaishi sehemu ambayo network ikipatikana mnakusanyika kijiji kizima chini ya muembe nakupiga simuMbona safari ya walio igwa sija isikia ata iki trend kuna tatzo ule upande kwani[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Sent using Jamii Forums mobile app
So Kama umeingia mjini juzi.. Baada ya kutoka kwenu iIeje.. Hiyo safari ungeisikia vipi... Wakati ulikuwa unaishi sehemu ambayo network ikipatikana mnakusanyika kijiji kizima chini ya muembe nakupiga simu
Chid Benz kaenda? Maana Steji bila Chidi, Mr Blue au Ney wa Mitego haijajamilika.
Studio ya sasa hiv ya clouds wameiga wasafi mbona hatuongei.Me nipo dar ninaishi kimara na pia nipo kwenye kwenye insta na Facebook na nimfatiliaji mzuri wa entertainment sijawahi kusikia Hiyo treni inayopandwa na clouds hao clouds Kama unawavika umungu wavike wewemwenyewe ila usitulazimishe wengine.So Kama umeingia mjini juzi.. Baada ya kutoka kwenu iIeje.. Hiyo safari ungeisikia vipi... Wakati ulikuwa unaishi sehemu ambayo network ikipatikana mnakusanyika kijiji kizima chini ya muembe nakupiga simu
Hiyo studio ya Clouds Kusaga aliionyeshwa mbona kitambo tu kabla ya Wasafi kuonyesha ya kwao kwa kuruka live??!!..ilikuwa kwenye miaka 19 ya Clouds..Studio ya sasa hiv ya clouds wameiga wasafi mbona hatuongei.Me nipo dar ninaishi kimara na pia nipo kwenye kwenye insta na Facebook na nimfatiliaji mzuri wa entertainment sijawahi kusikia Hiyo treni inayopandwa na clouds hao clouds Kama unawavika umungu wavike wewemwenyewe ila usitulazimishe wengine.