Clouds ni taasisi ya habari(media house) Diamond ni msanii, si sahihi kuwalinganisha.Hahaha Pro WCB __Bhana. So hizi siku zote alizokuwa anakwenda na ndege ilikuwaje... Kwanini hakuanza yeye kwenda na train mpaka asubiri clouds wafanye
Simchukii diamond na appreciate hustle zake.. But truth must be told clouds wapo vizuri Mano kwenye ubunifu
Acha uongo usitundangaje dunia ya sasa IPO wazi tunaona kila kitu.Hiyo studio ya Clouds Kusaga aliionyeshwa mbona kitambo tu kabla ya Wasafi kuonyesha ya kwao kwa kuruka live??!!..ilikuwa kwenye miaka 19 ya Clouds..
Itakuwa unatumia tecno pop1 haioneshi picha au ukigoogle picha ya gari inakuletea picha ya punda,Studio ya sasa hiv ya clouds wameiga wasafi mbona hatuongei.Me nipo dar ninaishi kimara na pia nipo kwenye kwenye insta na Facebook na nimfatiliaji mzuri wa entertainment sijawahi kusikia Hiyo treni inayopandwa na clouds hao clouds Kama unawavika umungu wavike wewemwenyewe ila usitulazimishe wengine.
Hahahaha, clouds hilo eneo hawana mshindaniWale jamaa kwa creativity.... Kbongo bongo hakuna wakuwaweza
Wewe kijana tunakujua ni kilaza sana humu JF..mimi naongea fact wewe unaleta ujinga ujinga wako..Nenda Youtube usearch studio mpya za Clouds uone hiyo video ilipandishwa lini na uje na hiyo tarehe ya studio za wasafi ilipokuwa revailed??Acha uongo usitundangaje dunia ya sasa IPO wazi tunaona kila kitu.
Hahahahahahah mejikuta nachekaaaaaa tyuuuh lolItakuwa unatumia tecno pop1 haioneshi picha au ukigoogle picha ya gari inakuletea picha ya punda,
Na wewe ni kama TID tuKatika jamii yoyote ile ya watu, kuna baadhi ya watu ambao ni mabingwa wa kung'ata na kupuliza , akiwa na wewe atakusifia na kukupa kila aina ya sifa na kujifanya ni mwema sana kwako na kuwaponda vibaya mno wale ambao wapo kinyume na wewe ila ukimpa kisogo tu kibao kinageuka kwako wewe sasa ndo atakuongelea vibaya na wale aliokuwa anawaponda ataenda kuwapelekea umbea na kukuponda wewe.
Sasa huyu jamaa anayejiita Top In Dar au ukipenda muite mzee kigogo ,Warioba, mzee wa kuganda hewani , mzee wa inakuja inakata ni dizaini ya hao watu.
T.I.D anajua sana kumpaka mtu mafuta kwa mgongo wa chupa ila sasa ukimpa kisogo tu utapondwa ile mbaya.
Mfano mzuri ni kuhusu ushindani uliopo kati ya Wasafi/Diamond Platnumz na Clouds Media jamaa akiwa kwa Diamond anamsifia kinoma na kumpa kila aina ya sifa , akienda Clouds inakuwa kinyume chake anasifia sana Clouds na kumponda mbaya Diamond Platnumz.
T.I.D aligombana mpaka na swahiba wake wa kitambo QChillah kutokana na tabia hii hii ya majungu na ufitini sasa sijajua kukaa kinondoni kumemfanya kuwa na tabia hizi, maana kinondoni kunaongoza kuwa na watu wanafiki wanafiki.
View attachment 1305835View attachment 1305836
Sent using Jamii Forums mobile app
Kaka Mungu anakuona πππSo Kama umeingia mjini juzi.. Baada ya kutoka kwenu iIeje.. Hiyo safari ungeisikia vipi... Wakati ulikuwa unaishi sehemu ambayo network ikipatikana mnakusanyika kijiji kizima chini ya muembe nakupiga simu
Kwa ajili ya chakulaHio treni majanga hadi bongo movie wamebebwa wa nini sasa.
Kama mtu hakuombi pesa ya kula unasemaje hana kazi, pia hujui hii ni Holiday muda ambao wenzio wanawekeza wewe unacheza wanapotumia unalia..Dar kweli watu hawana ratiba!...yaani wamebebwa kama nguruwe wengine hapo hawana hata mia!!...baada ya hapo wakiambiwa tena twendeni sumbawanga bure wanaenda sijui kazi zao wanafanya saa ngapi!!
Studio ya sasa hiv ya clouds wameiga wasafi mbona hatuongei.Me nipo dar ninaishi kimara na pia nipo kwenye kwenye insta na Facebook na nimfatiliaji mzuri wa entertainment sijawahi kusikia Hiyo treni inayopandwa na clouds hao clouds Kama unawavika umungu wavike wewemwenyewe ila usitulazimishe wengine.