Kitu kilichomchelewesha TId ni pamoja na masihara mengi na kutokuwa serious na kazi...Na hili la unga kwa sasa ndo linammaliza kabisaHuyu dogo TID angefika mbali sana sijui laana hii ya ngada kaitoa wapi!namfahamu tangu akisoma Shaaban Robert pale karibu na Diamond.
Katika Music artists wa Bongo yeye ndio mwenye kiwango cha juu katika kujieleza katika vyombo vya habari vya kimataifa kama BBC,Channel O nk
nyoka yupi?Sauti yake ina weza kumtoa nyoka pangoni
Anayeishi pangoninyoka yupi?
Teh teh...Ukiwataja wasanii wenye sauti za ukweli TID naye yumo
wewe inaonekana umenuwia kwa makusudi kubishana!Naona mmekuja kumpigia promo tu mshikaji wenu. Yes, anaweza kujieleza kwenye interview lakini the guy has no talent na sauti yake ni ya kawaida sana na nafikiri baada ya kusoma alama za nyakati akaona bora abwie unga aachane na mawazo ya kutowin.
we used to call him "sauti ya dhahabu"Teh teh...Ukiwataja wasanii wenye sauti za ukweli TID naye yumo
Nitumie simu yake nimshauriTID yuko vizuri basi tu miunga anayotumia,na ni mbishi hakuna!
Kila kitu anajua yeye,sasa sijui ni nani atakayeweza kumnasua huko kwenye uteja.
Mkuu Tid sio mshkaji wangu..Mi Ni shabiki tu kama shabiki wengine...Nnachoweza kukushauri..Rudi kasikilize kazi zake zote zen urudi kujenga hoja..Naona mmekuja kumpigia promo tu mshikaji wenu. Yes, anaweza kujieleza kwenye interview lakini the guy has no talent na sauti yake ni ya kawaida sana na nafikiri baada ya kusoma alama za nyakati akaona bora abwie unga aachane na mawazo ya kutowin.
nyoka yupi?
Yeye mwenyewe ni nyoka maana anakula unga.Anayeishi pangoni
sure boy...Man,We are losing this boy...So sad aiseee....we used to call him "sauti ya dhahabu"
Hahahahahaaa dah wewe jamaa hufai!Yeye mwenyewe ni nyoka maana anakula unga.
Achana na hilo popoma mkuu,hata sijui unapata wapi muda wa kubishana nae.Mkuu Tid sio mshkaji wangu..Mi Ni shabiki tu kama shabiki wengine...Nnachoweza kukushauri..Rudi kasikilize kazi zake zote zen urudi kujenga hoja..
Mkuu umenipa uchungu sana kunikumbusha enzi za TID yule TID sio huyu Skeleton wa sasa.All I need from you is understanding
Nachotaka toka kwako maelewano
Daaah TID huyu alikua ni best best
Una point bab. .kifo cha mangwea kilimpagawisha sn power bank TID kwani ndo kichwa alikuwa anakitegemea kimchoree mistariUenda sauti bado ipo sema kichwani ndo hakujatulia...Kama vipi amtafute mtu amchore mistari ya ukweli adondoshe hit ya ukweli