Tido anahama TBC anakwenda kwa Lowassa

Tido anahama TBC anakwenda kwa Lowassa

Game Theory

JF-Expert Member
Joined
Sep 5, 2006
Posts
8,546
Reaction score
855
t2.jpg



I'll say it maana naona kila mmoja anaogopa kulisema.

This mediocre bwana Tido kaamua kuhamia Lowassa.(Tv ya Lowassa) I'm sure wapambe wake wakiamka asubuhi watampa taarifa kuwa kabandikwa tena JF.

Sasa Tido wala usipate taabu if anything usharahisishia watu kazi na kinachosubiriwa ni hiyo barua yako.

Now the question is bwana Tido ataendelea kuwaficha staff wake mpaka lini.

Nimekuwa naitazama TBC channels zote if anything naona hakuna kipya alichokileta Tido zaidi ya kutumalizia kodi zetu kwa seminars zisizokwisha.

it gets more interesting kuwa huyu bwana alitaka kujimould kama John Reith lakini kasahau kuwa marehemu Reith alikuwa na Principles ambazo zimeifikisha BBC pale ilipo.

Lakini msishangilie sana kwani at the moment TBC is run by a bunch of Political Correctness twats ambao wanapewa ushauri ka top echelon ya TBC ambayo if anything imehaa ma extreme Cultural Marxist social engineers. I guess we dont need to any further reasons for understanding why their programmes manage to combine extreme tedium with a visceral anti-Govt bias.

Uzuri ni kuwa some of us havent bought any Tido's Cultural Marxist claptrap and we are never likely to.


Sasa stay tuned na maswahiba wake ambao wata register kuja kumtetea hapa jf...obviously tunajua post count zao.
 
I was just wondering GT hajaonekana hapa for a couple of weeks kumbe yuko jikoni anapika. Welcome back GT. Na kuhusu Tido kuhamia kwa Lowassa mbona hilo halishangazi. It was Lowassa who brought him back from London.
 
mambo mengine haya ni magumu sana kuelewa
 
hivi kwani mkataba wake na TBC umemalizika? kama umeisha si vibaya aende na huko akatumie ujuzi wake kwenye kampuni binafsi tuone matunda yake.Je hiyo tv ya mheshimiwa lowasa ilishazinduliwa rasmi lini? huku mikoani mbona hatuipati
 
t2.jpg



I'll say it maana naona kila mmoja anaogopa kulisema.

This mediocre bwana Tido kaamua kuhamia Lowassa.(Tv ya Lowassa) I'm sure wapambe wake wakiamka asubuhi watampa taarifa kuwa kabandikwa tena JF.

Sasa Tido wala usipate taabu if anything usharahisishia watu kazi na kinachosubiriwa ni hiyo barua yako.

Now the question is bwana Tido ataendelea kuwaficha staff wake mpaka lini.

Nimekuwa naitazama TBC channels zote if anything naona hakuna kipya alichokileta Tido zaidi ya kutumalizia kodi zetu kwa seminars zisizokwisha.

it gets more interesting kuwa huyu bwana alitaka kujimould kama John Reith lakini kasahau kuwa marehemu Reith alikuwa na Principles ambazo zimeifikisha BBC pale ilipo.

Lakini msishangilie sana kwani at the moment TBC is run by a bunch of Political Correctness twats ambao wanapewa ushauri ka top echelon ya TBC ambayo if anything imehaa ma extreme Cultural Marxist social engineers. I guess we dont need to any further reasons for understanding why their programmes manage to combine extreme tedium with a visceral anti-Govt bias.

Uzuri ni kuwa some of us havent bought any Tido's Cultural Marxist claptrap and we are never likely to.


Sasa stay tuned na maswahiba wake ambao wata register kuja kumtetea hapa jf...obviously tunajua post count zao.

Mkuu GT,
hebu nifanyie uungwana bwana, mimi hapo nimetoka kapa...tafadhali sana nifafanulie kwa lugha murua nipate ujumbe bila mikwaruzo.
 
Ila kajitahidi tahidi kubadilisha RTD kuwa TBC! Huko nako atabadilisha Lowasa Kuwa Mmasai!!
 
I am loving it' esepcially kama ni kweli --- Ukirejea lile somo la metamorphosis ya vile vidudu (has vyenye madhara utaona vinaanza kama malaika na baadae kuishi kuwa watoa roho) nadhani ni biology ya primary na o-level ....yaani unagundua kabisa mbondei alivyoanzia kwenye egg😕, larva🙁, pupa😱 na sasa anaelekea kuwa adult kamili😀

Mkono mtupu haulambwi
 
t2.jpg



I'll say it maana naona kila mmoja anaogopa kulisema.

This mediocre bwana Tido kaamua kuhamia Lowassa.(Tv ya Lowassa) I'm sure wapambe wake wakiamka asubuhi watampa taarifa kuwa kabandikwa tena JF.

Sasa Tido wala usipate taabu if anything usharahisishia watu kazi na kinachosubiriwa ni hiyo barua yako.

Now the question is bwana Tido ataendelea kuwaficha staff wake mpaka lini.

Nimekuwa naitazama TBC channels zote if anything naona hakuna kipya alichokileta Tido zaidi ya kutumalizia kodi zetu kwa seminars zisizokwisha.

it gets more interesting kuwa huyu bwana alitaka kujimould kama John Reith lakini kasahau kuwa marehemu Reith alikuwa na Principles ambazo zimeifikisha BBC pale ilipo.

Lakini msishangilie sana kwani at the moment TBC is run by a bunch of Political Correctness twats ambao wanapewa ushauri ka top echelon ya TBC ambayo if anything imehaa ma extreme Cultural Marxist social engineers. I guess we dont need to any further reasons for understanding why their programmes manage to combine extreme tedium with a visceral anti-Govt bias.

Uzuri ni kuwa some of us havent bought any Tido's Cultural Marxist claptrap and we are never likely to.


Sasa stay tuned na maswahiba wake ambao wata register kuja kumtetea hapa jf...obviously tunajua post count zao.

GT,

It's one thing not accepting outcome of his work and completely another to show hate towards the individual.

The latter is well below standard (even here).

YY
 
Sasa stay tuned na maswahiba wake ambao wata register kuja kumtetea hapa jf...obviously tunajua post count zao.

NIITE SWAHIBA au vyovyote upendavyo sio kila mchele unaonekana mchele mbele za watu wengine wajionea PUMBA..

Acheni WIVU jamani TBC imebaidirka toka alipokuja TIDO, hata FA tunaiangalia sisi wacheni nyie mafisadi mnaoweza kulipia 76 USD kwa mwezi, ITV walipoona TBC iankuja eti nao wakata kuonyesha na kuishia lawama baada ya KUSHINDWA mlikuwa wapi jamani.

we tido katafute greener pastures bwana mabadiriko TBC yapo MENGI SANA.
 

Huenda Mkataba wake umekwisha. Kwani tatizo ni nini? Mtu yuko huru kwenda anapotaka. Ana option pia ya kumjoin Mzee Mengi, maana wamependeza kweli kwenye hiyo picha.

Kusema kwamba hakuleta mabadidiliko TBC 1 hiyo sio sahihi. Kajitahidi sana hasa chini ya mazingira magumu ya kufanya kazi Bongoland. Ushahidi ni kuwa private TV zote zilikuwa zinailalamikia TBC 1 si kwa lolote lile ila kwa ufanisi wake katika kutoa habari sahihi, kupanga mahojiano yenye uzito, burdani etc.
 
Kwa uzoefu wa Tido kwenye sekta ya mawasiliano kwa njia ya redio, ningefurahi zaidi angekuwa mjasiriamali na akaanzisha radio/TV station ya kwake. Haiingii akilini kuendelea kukumbatia ajira na kutumikia wengine wakati uwezo wa kuanzisha ya kwake anao.

Biashara au investment yeyote ni rahisi kurithisha kizazi chako... lakini hizi ajira hizi!? kama ni kweli yatatokea yale yale ya wahariri wa gazeti la Rai; profession wanaiweka kapuni wakibaki kutekeleza matakwa ya wenye mali.
 
This mediocre ,if anything usharahisishia watu kazi na kinachosubiriwa ni hiyo barua yako.
Nimekuwa naitazama TBC channels zote if anything naona hakuna kipya alichokileta Tido zaidi ya kutumalizia kodi zetu kwa seminars zisizokwisha.

it gets more interesting kuwa huyu bwana alitaka kujimould kama John Reith lakini kasahau kuwa marehemu Reith alikuwa na Principles ambazo zimeifikisha BBC pale ilipo...at the moment TBC is run by a bunch of Political Correctness twats ambao wanapewa ushauri ka top echelon ya TBC ambayo if anything imehaa ma extreme Cultural Marxist social engineers. ....extreme tedium with a visceral anti-Govt bias.

Uzuri ni kuwa some of us havent bought any Tido's Cultural Marxist claptrap and we are never likely to.


Sasa stay tuned na maswahiba wake ambao wata register kuja kumtetea hapa jf...obviously tunajua post count zao.


Call me Swahiba wake or what you may, ila 'Mnyonge Mnyongeni, Haki yake Mpeni', TBC ya Samwilu Mwafissi siyo TBC ya Tido Mhando. Pamoja na kuwa siyo malaika and could be a devil, then 'Give The Devil His Due'!
Yes Tido might not be the best fot TBC, but so far is the best we have ever had!

Japo sujui mkataba wake na TBC, mikataba mingi ya serikali huisha 30th June au 31st December, hivyo Tido might be kwenye kundi la 31st December yaani leo. Kama hataongezewa, then its fine and is free kwenda popote.
 
t2.jpg



I'll say it maana naona kila mmoja anaogopa kulisema.

This mediocre bwana Tido kaamua kuhamia Lowassa.(Tv ya Lowassa) I'm sure wapambe wake wakiamka asubuhi watampa taarifa kuwa kabandikwa tena JF.

Sasa Tido wala usipate taabu if anything usharahisishia watu kazi na kinachosubiriwa ni hiyo barua yako.

Now the question is bwana Tido ataendelea kuwaficha staff wake mpaka lini.

Nimekuwa naitazama TBC channels zote if anything naona hakuna kipya alichokileta Tido zaidi ya kutumalizia kodi zetu kwa seminars zisizokwisha.

it gets more interesting kuwa huyu bwana alitaka kujimould kama John Reith lakini kasahau kuwa marehemu Reith alikuwa na Principles ambazo zimeifikisha BBC pale ilipo.

Lakini msishangilie sana kwani at the moment TBC is run by a bunch of Political Correctness twats ambao wanapewa ushauri ka top echelon ya TBC ambayo if anything imehaa ma extreme Cultural Marxist social engineers. I guess we dont need to any further reasons for understanding why their programmes manage to combine extreme tedium with a visceral anti-Govt bias.

Uzuri ni kuwa some of us havent bought any Tido's Cultural Marxist claptrap and we are never likely to.


Sasa stay tuned na maswahiba wake ambao wata register kuja kumtetea hapa jf...obviously tunajua post count zao.

GT it would be better to the reader if you had differentiated fact from your opinion of the person!
 
Kwa uzoefu wa Tido kwenye sekta ya mawasiliano kwa njia ya redio, ningefurahi zaidi angekuwa mjasiriamali na akaanzisha radio/TV station ya kwake. Haiingii akilini kuendelea kukumbatia ajira na kutumikia wengine wakati uwezo wa kuanzisha ya kwake anao.

Biashara au investment yeyote ni rahisi kurithisha kizazi chako... lakini hizi ajira hizi!? kama ni kweli yatatokea yale yale ya wahariri wa gazeti la Rai; profession wanaiweka kapuni wakibaki kutekeleza matakwa ya wenye mali.

I agree with u man. Tido kwa uzoefu wake angeliweza kabisa kuanzisha TV station yake binafsi na akawa ndiye mwamuzi wa nini kirushwe badala ya kufanywa kibaraka wa watu wasiotosheka wanaotaka kujitafutia uongozi kwa nguvu hata kama uwezo wa kuongoza hawana!
 
Kwa uzoefu wa Tido kwenye sekta ya mawasiliano kwa njia ya redio, ningefurahi zaidi angekuwa mjasiriamali na akaanzisha radio/TV station ya kwake. Haiingii akilini kuendelea kukumbatia ajira na kutumikia wengine wakati uwezo wa kuanzisha ya kwake anao.

Biashara au investment yeyote ni rahisi kurithisha kizazi chako... lakini hizi ajira hizi!? kama ni kweli yatatokea yale yale ya wahariri wa gazeti la Rai; profession wanaiweka kapuni wakibaki kutekeleza matakwa ya wenye mali.

Kumbe ni rahisi kiasi hicho?????
Nahisi na wewe utakuwa mjasiriamali kwenye line ya professional yako!!!!!!
 
Kumbe ni rahisi kiasi hicho?????
Nahisi na wewe utakuwa mjasiriamali kwenye line ya professional yako!!!!!!
Uoga unakusumbua ndugu. Sio kila profession unaweza kuwa mjasiriamali. kwa mfano kwa Rubani kununua ndege na kuanzisha sekta ya usafiri inaweza ikawa ni challenge kubwa. ILa kwa madereva wa daladala au Taxi inawezekana. Ni mfano tu! Lakini kwa uzoefu wa Tido kwenye habari, i strongly believe that he can be a successful investor in that sector. Kama kuna mtu humu kundini ana CV ya TIDO, aiweke hapa ili Kandambilimbili asiendelee kufa masikini.

lakini kwa taarifa yako tu, ujasiriamali ni suala la kuthubutu na kuamua kuchukua RISK. na kwa kiasi kikubwa wajasiriamali wengi walichukua RISK kubwa mwanzoni. na mifano ipo mingi ndugu.

Kumbuka kuwa hata kumiliki Salon ni ujasiriamali. Wish u a prosperous new year 2010.
 
Back
Top Bottom