inaweza ikawa ni uzushi hii habari.jamani, this an era of free market and people are capable of working anywhere they like provided that they have the required knowledge. Mi sioni tatizo la huyo jamaa TIDO kuhama, cha muhimu kijiuliza ni kwa nini anahama? Hakuletwa TBC akae maisha yake yote. Tusubiri atakachofanya huko TV mpya na hapo ndipo tutajua kama yuko bias au lah! Ni hayo tu wajomba!
Hayo ya kufanya kazi yeyote mahala popote ni kwa watu ambao wanatafuta kula au ujuzi/uzoefu.
Ukiwa na hadhi ya Tido lazima uchague unafanya nini na wapi.Hatafuti kula yule. Kwa miaka yote hiyo na nyadhifa zote hizo alishajijenga. Kumfanyia kazi lowasa na si umma haiwezi ikawa ndoto yake.