Tigo bustisha wametuibia watanzania

Tigo bustisha wametuibia watanzania

lubano jr

Member
Joined
Apr 25, 2019
Posts
67
Reaction score
117
Tigo kupitia huduma yao ya BUSTISHA leo siku ya 3 imetukata wateja wake mara mbili ya kiasi walichotakiwa kurudishiwa na wateja lakini mpaka sasa tunahangaika kuwapigia simu wanachojibi ni majibu rahisi kuwa pesa utarudishwa ndani ya masaa 24 na sasa ni zaidi ya masaa 72 bila pesa kurejea tunaomba mamlaka ya mawasiliano kuingilia kati hili suala

IMG_20230126_195439_597.jpg
View attachment 2498701
 
Back
Top Bottom