Tigo hawa hawahawa ndio walitumika kutoa ushahidi wakati wa kesi ya kutengeneza ya ugaidi wa Mbowe

Tigo hawa hawahawa ndio walitumika kutoa ushahidi wakati wa kesi ya kutengeneza ya ugaidi wa Mbowe

Tindo

JF-Expert Member
Joined
Sep 28, 2011
Posts
63,730
Reaction score
111,542
Kitendo cha kampuni ya Tigo kutumiwa pia kutoa ushahidi wa mchongo wakati wa kesi ya ugaidi ya Mbowe, huo ni ushahidi kuwa kampuni hiyo imekuwa ikitumika na serekali katika kuwafanyia uovu wapinzani.

Hivyo hawawezi kujitenga sasa kuhusu kutoa location ya Lisu kuhusu shambulio lake, maana hata baada ya mtangulizi wa Samia kuondoka, bado kampuni hii imeendelea kutumika kufanya uovu dhidi ya wapinzani.

PIA SOMA
- Yaliyojiri Mahakama Kuu Kesi ya Mbowe na Wenzake: Shahidi Afred Kapala wa tiGO atoa Ushahidi, Kesi kuendelea, Nov 03, 2021

- Tundu Lissu kuiburuza Tigo mahakamani
 
Maandamano
....yooooooooooooooooooooooooooooote
Kuanzia 255 mpaka ya maombolezo

.....yamebuma.

Sasa Tiiigo, Tigo, Tiiiigo Tigo

Mafupa haya.
 
Kitendo cha kampuni ya Tigo kutumiwa pia kutoa ushahidi wa mchongo wakati wa kesi ya ugaidi ya Mbowe, huo ni ushahidi kuwa kampuni hiyo imekuwa ikitumika na serekali katika kuwafanyia uovu wapinzani.

Hivyo hawawezi kujitenga sasa kuhusu kutoa location ya Lisu kuhusu shambulio lake, maana hata baada ya mtangulizi wa Samia kuondoka, bado kampuni hii imeendelea kutumika kufanya uovu dhidi ya wapinzani.

PIA SOMA
- Yaliyojiri Mahakama Kuu Kesi ya Mbowe na Wenzake: Shahidi Afred Kapala wa tiGO atoa Ushahidi, Kesi kuendelea, Nov 03, 2021

- Tundu Lissu kuiburuza Tigo mahakamani
Hakika, wametumika kama karatasi ya uani
 
Kitendo cha kampuni ya Tigo kutumiwa pia kutoa ushahidi wa mchongo wakati wa kesi ya ugaidi ya Mbowe, huo ni ushahidi kuwa kampuni hiyo imekuwa ikitumika na serekali katika kuwafanyia uovu wapinzani.

Hivyo hawawezi kujitenga sasa kuhusu kutoa location ya Lisu kuhusu shambulio lake, maana hata baada ya mtangulizi wa Samia kuondoka, bado kampuni hii imeendelea kutumika kufanya uovu dhidi ya wapinzani.

PIA SOMA
- Yaliyojiri Mahakama Kuu Kesi ya Mbowe na Wenzake: Shahidi Afred Kapala wa tiGO atoa Ushahidi, Kesi kuendelea, Nov 03, 2021

- Tundu Lissu kuiburuza Tigo mahakamani
Nilishamalizana na Tigo kitambo sana
 
Kitendo cha kampuni ya Tigo kutumiwa pia kutoa ushahidi wa mchongo wakati wa kesi ya ugaidi ya Mbowe, huo ni ushahidi kuwa kampuni hiyo imekuwa ikitumika na serekali katika kuwafanyia uovu wapinzani.

Hivyo hawawezi kujitenga sasa kuhusu kutoa location ya Lisu kuhusu shambulio lake, maana hata baada ya mtangulizi wa Samia kuondoka, bado kampuni hii imeendelea kutumika kufanya uovu dhidi ya wapinzani.

PIA SOMA
- Yaliyojiri Mahakama Kuu Kesi ya Mbowe na Wenzake: Shahidi Afred Kapala wa tiGO atoa Ushahidi, Kesi kuendelea, Nov 03, 2021

- Tundu Lissu kuiburuza Tigo mahakamani
Hii ya Michael Clifford Ni sawa na kumsukuma Mlevi.

Michael Clifford ni Kachero wa Scotlans Yard a.k.a London Metropolitani Police.
 
Kitendo cha kampuni ya Tigo kutumiwa pia kutoa ushahidi wa mchongo wakati wa kesi ya ugaidi ya Mbowe, huo ni ushahidi kuwa kampuni hiyo imekuwa ikitumika na serekali katika kuwafanyia uovu wapinzani.

Hivyo hawawezi kujitenga sasa kuhusu kutoa location ya Lisu kuhusu shambulio lake, maana hata baada ya mtangulizi wa Samia kuondoka, bado kampuni hii imeendelea kutumika kufanya uovu dhidi ya wapinzani.

PIA SOMA
- Yaliyojiri Mahakama Kuu Kesi ya Mbowe na Wenzake: Shahidi Afred Kapala wa tiGO atoa Ushahidi, Kesi kuendelea, Nov 03, 2021

- Tundu Lissu kuiburuza Tigo mahakamani
Nilishamalizana na Tigo kitambo sana
Hii ya Michael Clifford Ni sawa na kumsukuma Mlevi.

Michael Clifford ni Kachero wa Scotlans Yard a.k.a London Metropolitani Police.
Kuna mengi hajayasema bado
 
Ukiona Kampuni kila baada inauzwa jua wana tatizo la kulipa kodi na pia ni rahisi wahuni wakitaka kuwatumia kwa kuwa wana kipengele cha kodi tayari..
 
Hakika, wametumika kama karatasi ya uani
Marehemu Mzee Ally, alikuwa na TiGo; vipi, Lema anatumia TiGO?Wale vijana walio tekwa walikuwa na TiGO? Kama majibu yote ni NDIYO, hapo kuna tatizo lililo wazi.
Hebu kwanza: Ben Saanane alikuwa na TiGO?
 
Back
Top Bottom