Tigo hawa hawahawa ndio walitumika kutoa ushahidi wakati wa kesi ya kutengeneza ya ugaidi wa Mbowe

Tigo hawa hawahawa ndio walitumika kutoa ushahidi wakati wa kesi ya kutengeneza ya ugaidi wa Mbowe

Mahakam zetu zinazidi kukosa thamani, wahusika kwa kutetea matumbo yao wanakubali kudhalilisha muhimili wote wa haki na sheria.

Sijui Lisu naye hawa mahasimu wake atawashitaki hapa au naye ata kwenda huko Majuu?
 
Kitendo cha kampuni ya Tigo kutumiwa pia kutoa ushahidi wa mchongo wakati wa kesi ya ugaidi ya Mbowe, huo ni ushahidi kuwa kampuni hiyo imekuwa ikitumika na serekali katika kuwafanyia uovu wapinzani.

Hivyo hawawezi kujitenga sasa kuhusu kutoa location ya Lisu kuhusu shambulio lake, maana hata baada ya mtangulizi wa Samia kuondoka, bado kampuni hii imeendelea kutumika kufanya uovu dhidi ya wapinzani.

PIA SOMA
- Yaliyojiri Mahakama Kuu Kesi ya Mbowe na Wenzake: Shahidi Afred Kapala wa tiGO atoa Ushahidi, Kesi kuendelea, Nov 03, 2021

- Tundu Lissu kuiburuza Tigo mahakamani
Nilishamalizana na Tigo kitambo sana
Hii itakuwa kwenye mahakama ya beberu, hakuna mtu mwenye akili atapeleka hii kesi Kwa majaji na mahakimu wanaotoa hukumu Kwa order za simu
Kuna watu wanafanya kila mbinu ifutwe
 
Kitendo cha kampuni ya Tigo kutumiwa pia kutoa ushahidi wa mchongo wakati wa kesi ya ugaidi ya Mbowe, huo ni ushahidi kuwa kampuni hiyo imekuwa ikitumika na serekali katika kuwafanyia uovu wapinzani.

Hivyo hawawezi kujitenga sasa kuhusu kutoa location ya Lisu kuhusu shambulio lake, maana hata baada ya mtangulizi wa Samia kuondoka, bado kampuni hii imeendelea kutumika kufanya uovu dhidi ya wapinzani.

PIA SOMA
- Yaliyojiri Mahakama Kuu Kesi ya Mbowe na Wenzake: Shahidi Afred Kapala wa tiGO atoa Ushahidi, Kesi kuendelea, Nov 03, 2021

- Tundu Lissu kuiburuza Tigo mahakamani
Tigo watamruka afisa wao Alfred.
 
Kuna siku hili bungo watalitema tuu
20240927_023530.jpg
 
Tigo watoe location?

Lisu ni maarufu.

Sura yake inajulikana na hata asiyefuatilia siasa.

Pia alisharipoti kua anafuatiliwa.

Tigo sidhani kama ilikua na haja ya kutoa location ya high profile politician kama Lisu.

Kuvujisha mawasiliano inamake sense kuliko kuvujisha location.
 
Maandamano
....yooooooooooooooooooooooooooooote
Kuanzia 255 mpaka ya maombolezo

.....yamebuma.

Sasa Tiiigo, Tigo, Tiiiigo Tigo

Mafupa haya.
Shida ,mpo na akili ndogo sana, kwenye kesi ya namna hii, na yale serikali hii imeionesha dunia tarehe 23/9/2024, namna police walivyojazana na silaha za moto kama nchi ipo vitani , mnaosema maandamano yamefeli ,brain zenu ,zimekufa.

Tulishawambia chadema kila movement kwao ipo calculated , nyie mko tegemea watu kama wakina MACKONDA
 
Marehemu Mzee Ally, alikuwa na TiGo; vipi, Lema anatumia TiGO?Wale vijana walio tekwa walikuwa na TiGO? Kama majibu yote ni NDIYO, hapo kuna tatizo lililo wazi.
Hebu kwanza: Ben Saanane alikuwa na TiGO?
Jibu ni Ndio!
 
Kitendo cha kampuni ya Tigo kutumiwa pia kutoa ushahidi wa mchongo wakati wa kesi ya ugaidi ya Mbowe, huo ni ushahidi kuwa kampuni hiyo imekuwa ikitumika na serekali katika kuwafanyia uovu wapinzani.

Hivyo hawawezi kujitenga sasa kuhusu kutoa location ya Lisu kuhusu shambulio lake, maana hata baada ya mtangulizi wa Samia kuondoka, bado kampuni hii imeendelea kutumika kufanya uovu dhidi ya wapinzani.

PIA SOMA
- Yaliyojiri Mahakama Kuu Kesi ya Mbowe na Wenzake: Shahidi Afred Kapala wa tiGO atoa Ushahidi, Kesi kuendelea, Nov 03, 2021

- Tundu Lissu kuiburuza Tigo mahakamani
Duuui kazi sanaaaa.....sheria zinawabanasana inabidi watoe taarifa za mteja...bila kupenda
 
Tigo watoe location?

Lisu ni maarufu.

Sura yake inajulikana na hata asiyefuatilia siasa.

Pia alisharipoti kua anafuatiliwa.

Tigo sidhani kama ilikua na haja ya kutoa location ya high profile politician kama Lisu.

Kuvujisha mawasiliano inamake sense kuliko kuvujisha location.
Hii ni kwa mujibu wako
 
Hujui kitu, Shut up!
Wewe ndio hujui kitu. Shut your Hole.

Usinipangie nguruwe wewe.

Mitanganyika mna akili za hovyoooo sana

Wewe ni mtu mpuuzi sana. Yaani unaamka kila siku, kuandika nyuzi kwa Watu wasio na akili?

Hii inakufanya wewe uwe nini?😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂🤯

Wewe ni gaidi pa mtandqoni kama magaidi mengine, na hata ukija na ID mia nane, unabakia kuwa ni fala fulani tu.

Kwa maneno hayo machache, wewe ndio umedhihirisha kuwa ndio mtu wa hovyoo sana mara 100.
=============
Niwakumbushe tu

CHADEMA sio chama cha Siasa, bali ni kundi la Wanaharakati tu linaloongozwa na 👇🏿
maxresdefault.jpg

Magaidi na Masaliti sio wa kubembelezwa, stay in your lane.
 
Maandamano
....yooooooooooooooooooooooooooooote
Kuanzia 255 mpaka ya maombolezo

.....yamebuma.

Sasa Tiiigo, Tigo, Tiiiigo Tigo

Mafupa haya.
Kuwa na akili kubuma kwa maandamano kama unavyosema ilikuwa ccm na policcm wawaache chadema wafanye maandamano yao ili tuwaone kutokuungwa kwao mkono lakni unasema yamebuma wakati jambo la kwanza mlikimbilia kuwakamata viongozi wao na baadhi ya wanachama wao na nchi mzima mkailiweka jeshi la wa wananchi mlilolivalisha forms za kipolice na kuwachanganya na policcm wakaida.

Ili upigane na mtu mwache awe huru.
 
Shida ,mpo na akili ndogo sana, kwenye kesi ya namna hii, na yale serikali hii imeionesha dunia tarehe 23/9/2024, namna police walivyojazana na silaha za moto kama nchi ipo vitani ,

Why Trump has the FBI, ICE and TSA patrolling Washington streets

Majeshi ya Marekani hayo yakivunja maandamano. Tena wakiwa na silaha za moto.​


👇🏿
iu


=========

mnaosema maandamano yamefeli ,brain zenu ,zimekufa.
Zimefeli sana. Na Brain zipo moto.
Tulishawambia chadema kila movement kwao ipo calculated , nyie mko tegemea watu kama wakina MACKONDA
Ona Ulivyo. Mackonda ndio nini?
 
Kuwa na akili
Funga tundu lako la choo.
kubuma kwa
Yamebuma Hutaki?
maandamano kama unavyosema ilikuwa ccm na policcm wawaache chadema wafanye maandamano yao ili tuwaone kutokuungwa kwao mkono lakni unasema yamebuma wakati jambo la kwanza mlikimbilia kuwakamata viongozi wao na baadhi ya wanachama wao na nchi mzima mkailiweka jeshi la wa wananchi mlilolivalisha forms za kipolice na kuwachanganya na policcm wakaida.
Hiyo ni kawaida sana kwa Serikali yeyote ile makini. Kumbuka this is a zero sum game.

Polisi wanawekwa kwa Usalama wa Raia na mali zao, itoshe, wamewapa usalama Viongozi wa CHADEMA wasitekane ama waje kusema walitekwa.
Ili upigane na mtu mwache awe huru.

Watanzania wapo huru, hao kina Mbowe na Lissu wapo huru. Haya mambo mengine ni hisia tu wanazojenga na wanazo tengeneza-sio Uhalisia wa mambo mtaani. Ati Mambo sio salama.🙌🏾
 
Sasa hivi watu naowapigia simu nawapigis kwenye namba zao ambazo sio za Tigo!

Wachache sana wenye namba 1 tu ya tigo ndio nawapigia ila nawaambia leo ndio mwisho kukupigis simu kwa hii namba yako !
 
Tigo watoe location?

Lisu ni maarufu.

Sura yake inajulikana na hata asiyefuatilia siasa.

Pia alisharipoti kua anafuatiliwa.

Tigo sidhani kama ilikua na haja ya kutoa location ya high profile politician kama Lisu.

Kuvujisha mawasiliano inamake sense kuliko kuvujisha location.
Hawa ni wapindishaji tu.

Maandamano yamebuma hawana cha kuisulubu Serikali na kwa sasa wanatafuta kiki nyingine kwenye magazeti wabakie relevant.
========
Castr,
Kweli kabisa, kama anavyodai Lissu na dereva wake walikuwa wakifuatiliwa, hai make any sense kwamba Tigo walitoa Location yake. Na kama ulivyosema, labda text, voicemail na documents, Location?


Ikumbukwe, simu zote janja ni GPRS enabled. - Yaani Hata ukizima, nikipata simu yako nakufungulia GPRS log file nitakuonyesha ulikuwa wapi na kwa kutumia GPS coordinatem, mpaka kitandani, Simple as that.

Hivi unafikiri serikali ilikosa $5000 kununua pegasus kwa ajili ya Lissu? Kweli?
 
Funga tundu lako la choo.

Yamebuma Hutaki?

Hiyo ni kawaida sana kwa Serikali yeyote ile makini. Kumbuka this is a zero sum game.

Polisi wanawekwa kwa Usalama wa Raia na mali zao, itoshe, wamewapa usalama Viongozi wa CHADEMA wasitekane ama waje kusema walitekwa.


Watanzania wapo huru, hao kina Mbowe na Lissu wapo huru. Haya mambo mengine ni hisia tu wanazojenga na wanazo tengeneza-sio Uhalisia wa mambo mtaani. Ati Mambo sio salama.🙌🏾
Maelezo mengi hoja 0.

Kama mnaona hawana ishu yoyote wacheni shobo ya kutumia policcm kuwazuia.
 
Back
Top Bottom