Tigo hawa hawahawa ndio walitumika kutoa ushahidi wakati wa kesi ya kutengeneza ya ugaidi wa Mbowe

Tigo hawa hawahawa ndio walitumika kutoa ushahidi wakati wa kesi ya kutengeneza ya ugaidi wa Mbowe

Maandamano
....yooooooooooooooooooooooooooooote
Kuanzia 255 mpaka ya maombolezo

.....yamebuma.

Sasa Tiiigo, Tigo, Tiiiigo Tigo

Mafupa haya.
Kaka hivi ww unadhan wanafanya maandamano ili wajae barabaran au wavunje vioo maduka? Nakupa tafiti ndogo kama umemesoma ,kaandike tanzania abduction google uone dunia nzima inazumgumziaje tz ,nia ya maandamano ni kushawishi.

Mfano mm na ww ni washkaji ukaamuaa unanidhulumu milion nlokukopa ,huwa ili unilipe sio nikukabe au tupigane natumia njia za amani kama maandamano
1.naenda kwa paroko /sheik unapoabudu naenda kushitaki nikiwa nimemwita na mama yako mzazi
2.ukigoma naenda kukusemelea kwa bosi wako kazini nikiwa nimemita na pembeni niwaalika msimamizi wako wa ndoa na mama mkwe
Ndivo inavofanywa siasa ya kistaarabu unatumia ushawishi.
Mafqnikio ya maandamano ya juzi
1.Imefanyq watu kibao duniani kupigia kelele utekaji na uuaji
2.imewapa confidence watu kuongelea bila kuogopa akiwamo rostam,butiku,tibaijuka
3.imefanya isiwe ishu ya kitaifa bali kimataifa imerushwa mpaka bbc
4.viongozi wa dini wameomba chadema kusitisha maandamano kwa ahadi kuitisha kikao na mama samia (wasingeitisha wamepata sababu)
5.Hii kesi ya tigo sio stori ni kitu mwiba ila jamaa wimbi hili la maandamano na kukamatwa lisu limewaibua hasira hadi kutoa siri ya kumpa lissu nguvu upya

Mm sio mwanasiasa wala mwanachama ila hii nimekupa kisomi zaidi
 

Why Trump has the FBI, ICE and TSA patrolling Washington streets

Majeshi ya Marekani hayo yakivunja maandamano. Tena wakiwa na silaha za moto.​


👇🏿
iu


=========


Zimefeli sana. Na Brain zipo moto.

Ona Ulivyo. Mackonda ndio nini?
Unaonesha bado ulivyo empty bado ,
 
Mahakam zetu zinazidi kukosa thamani, wahusika kwa kutetea matumbo yao wanakubali kudhalilisha muhimili wote wa haki na sheria.

Sijui Lisu naye hawa mahasimu wake atawashitaki hapa au naye ata kwenda huko Majuu?
Ameshasema ni london tuu
 
Kama tundu ulimotokea? 😂😂😂😂😂😂😂

Unaweza piga makofi mule. Empty kabisa, tangia fuvu lako litoke

Sawa gaidi.
Nikwambie sio mtekaji ,au mpumbavu ,nakupa onyo ,acha upumbavu ,tumia akili yako ulizaliwa nayo , hakili nyembamba mnazo tumia zipo na mwisho , njoo tuzichape , Mods. Ebu kama vipi leteni huyu juzichape wazi kama vipi siku 47 zikikamilika nitaongea naye pitia mamlaka ya kimungu

Unataka nitia najisi tamka ,kwa mda ambao sio mda wangu
 
Nikwambie sio mtekaji ,au mpumbavu ,nakupa onyo ,acha upumbavu ,tumia akili yako ulizaliwa nayo , hakili nyembamba mnazo tumia zipo na mwisho , njoo tuzichape , Mods. Ebu kama vipi leteni huyu juzichape wazi kama vipi siku 47 zikikamilika nitaongea naye pitia mamlaka ya kimungu

Unataka nitia najisi tamka ,kwa mda ambao sio mda wangu
Huna uwezo wa kucheza kwenye himaya zangu.

Una lia lia nini sasa wakati wewe ndie uliyeanza kuni attack?

Tulia, nenda ukalale.
 
Nadhani binafsi muda kutumia huu mtanda inabidi ufikie mwisho. Namalizana nao hii miezi ilibakia kwa mwaka huu. 31.12.2024 nazima kabisa line ya tigo.
 
Kitendo cha kampuni ya Tigo kutumiwa pia kutoa ushahidi wa mchongo wakati wa kesi ya ugaidi ya Mbowe, huo ni ushahidi kuwa kampuni hiyo imekuwa ikitumika na serekali katika kuwafanyia uovu wapinzani.

Hivyo hawawezi kujitenga sasa kuhusu kutoa location ya Lisu kuhusu shambulio lake, maana hata baada ya mtangulizi wa Samia kuondoka, bado kampuni hii imeendelea kutumika kufanya uovu dhidi ya wapinzani.

PIA SOMA
- Yaliyojiri Mahakama Kuu Kesi ya Mbowe na Wenzake: Shahidi Afred Kapala wa tiGO atoa Ushahidi, Kesi kuendelea, Nov 03, 2021

- Tundu Lissu kuiburuza Tigo mahakamani
Ni wakati wa kufanya kila linalowezekana Tigo walipie gharama za uovu walioshiriki dhidi ya wapinzani hapa nchini.
Ni kweli.
Tigo na mitandao mingine wanastahili malipizi sawa sawa na matendo yao.
 
Wewe umeumbwa na nani? Je wajua kipindi upo tumbo mwa
Huna uwezo wa kucheza kwenye himaya zangu.

Una lia lia nini sasa wakati wewe ndie uliyeanza kuni attack?

Tulia, nenda ukalale.
Unajua umefikaje hapo? Unajua kipindi upo kwa mama na kuzaliwa na kutambaa umefikaje hapa, unajijiua ukiwa na miezi miwili ulikaje tumbuni wa mama , ? Leo why wageuka kuwa chini ya mamlaka ya kidunia sasa ?

Sikia hukua ulivyo wakati unaumbwa mpaka kuzaliwa , ila waiona dunia ni yako na mwenye mamlaka , hacha hii mara moja . kama ambavyo uliingia ulimwengu huu huna vazi na kulia hivyo hivyo ipo siku utanywe ,tueshimiane .

Nasema kimamlaka sitaki najisi , nipo nilipo naye alipo mpaka siku 47 kuisha ,ni lazima heshim hili sio ombi ,asema Bwana,

Nani asema acheze imaya zako ,kwanza zipi za kibinadam,dunia ,haera, au za Kimungu?
 
Baada ya kikao kikubwa jina lina badilishwa kutoka tigo
 
Maandamano
....yooooooooooooooooooooooooooooote
Kuanzia 255 mpaka ya maombolezo

.....yamebuma.

Sasa Tiiigo, Tigo, Tiiiigo Tigo

Mafupa haya.
Wewe hujielewi. Nchi zilizoendelea huko wanaandamana hata kwa mambo yanayotokea nje ya mipaka yao . Wewe bibi yako anakunya choo cha shims bila hata maji . Unaona maandamano hayana maana.
Ndo mana wanasema bora kuzaliwa mbwa ulaya kuliko kuzaliwa binadamu kama wewe huku africa
 
Back
Top Bottom