Hakika, wametumika kama karatasi ya uaniKitendo cha kampuni ya Tigo kutumiwa pia kutoa ushahidi wa mchongo wakati wa kesi ya ugaidi ya Mbowe, huo ni ushahidi kuwa kampuni hiyo imekuwa ikitumika na serekali katika kuwafanyia uovu wapinzani.
Hivyo hawawezi kujitenga sasa kuhusu kutoa location ya Lisu kuhusu shambulio lake, maana hata baada ya mtangulizi wa Samia kuondoka, bado kampuni hii imeendelea kutumika kufanya uovu dhidi ya wapinzani.
PIA SOMA
- Yaliyojiri Mahakama Kuu Kesi ya Mbowe na Wenzake: Shahidi Afred Kapala wa tiGO atoa Ushahidi, Kesi kuendelea, Nov 03, 2021
- Tundu Lissu kuiburuza Tigo mahakamani
Hujui kitu, Shut up!Maandamano
....yooooooooooooooooooooooooooooote
Kuanzia 255 mpaka ya maombolezo
.....yamebuma.
Sasa Tiiigo, Tigo, Tiiiigo Tigo
Mafupa haya.
Mitanganyika mna akili za hovyoooo sanaMaandamano
....yooooooooooooooooooooooooooooote
Kuanzia 255 mpaka ya maombolezo
.....yamebuma.
Sasa Tiiigo, Tigo, Tiiiigo Tigo
Mafupa haya.
Hii kesi itanguruma mpaka mwakani kisha uamuzi utatolewa wakati tukijiandaa na uchaguzi mkuu๐๐๐Ni wakati wa kufanya kila linalowezekana Tigo walipie gharama za uovu walioshiriki dhidi ya wapinzani hapa nchini.
Nilishamalizana na Tigo kitambo sanaKitendo cha kampuni ya Tigo kutumiwa pia kutoa ushahidi wa mchongo wakati wa kesi ya ugaidi ya Mbowe, huo ni ushahidi kuwa kampuni hiyo imekuwa ikitumika na serekali katika kuwafanyia uovu wapinzani.
Hivyo hawawezi kujitenga sasa kuhusu kutoa location ya Lisu kuhusu shambulio lake, maana hata baada ya mtangulizi wa Samia kuondoka, bado kampuni hii imeendelea kutumika kufanya uovu dhidi ya wapinzani.
PIA SOMA
- Yaliyojiri Mahakama Kuu Kesi ya Mbowe na Wenzake: Shahidi Afred Kapala wa tiGO atoa Ushahidi, Kesi kuendelea, Nov 03, 2021
- Tundu Lissu kuiburuza Tigo mahakamani
Hii ya Michael Clifford Ni sawa na kumsukuma Mlevi.Kitendo cha kampuni ya Tigo kutumiwa pia kutoa ushahidi wa mchongo wakati wa kesi ya ugaidi ya Mbowe, huo ni ushahidi kuwa kampuni hiyo imekuwa ikitumika na serekali katika kuwafanyia uovu wapinzani.
Hivyo hawawezi kujitenga sasa kuhusu kutoa location ya Lisu kuhusu shambulio lake, maana hata baada ya mtangulizi wa Samia kuondoka, bado kampuni hii imeendelea kutumika kufanya uovu dhidi ya wapinzani.
PIA SOMA
- Yaliyojiri Mahakama Kuu Kesi ya Mbowe na Wenzake: Shahidi Afred Kapala wa tiGO atoa Ushahidi, Kesi kuendelea, Nov 03, 2021
- Tundu Lissu kuiburuza Tigo mahakamani
HahahNilishamalizana na Tigo kitambo sana
Chuma kinaenda kutafuna Kutu kama Kucha kwenye Ukurutu.Hii kesi itanguruma mpaka mwakani kisha uamuzi utatolewa wakati tukijiandaa na uchaguzi mkuu๐๐๐
Hahah......Mkuu umeambiwa Kesi itapigwa huko huko Majuu.Nadhani lisu awe na huruma walikuwa hawana jinsi,lisu apewe 25% ya hisa
Nilishamalizana na Tigo kitambo sanaKitendo cha kampuni ya Tigo kutumiwa pia kutoa ushahidi wa mchongo wakati wa kesi ya ugaidi ya Mbowe, huo ni ushahidi kuwa kampuni hiyo imekuwa ikitumika na serekali katika kuwafanyia uovu wapinzani.
Hivyo hawawezi kujitenga sasa kuhusu kutoa location ya Lisu kuhusu shambulio lake, maana hata baada ya mtangulizi wa Samia kuondoka, bado kampuni hii imeendelea kutumika kufanya uovu dhidi ya wapinzani.
PIA SOMA
- Yaliyojiri Mahakama Kuu Kesi ya Mbowe na Wenzake: Shahidi Afred Kapala wa tiGO atoa Ushahidi, Kesi kuendelea, Nov 03, 2021
- Tundu Lissu kuiburuza Tigo mahakamani
Kuna mengi hajayasema badoHii ya Michael Clifford Ni sawa na kumsukuma Mlevi.
Michael Clifford ni Kachero wa Scotlans Yard a.k.a London Metropolitani Police.
Inabidi hata wafichuliwe kimataifa ili wasipate hata bando ya kurusha mawimbi kwenye satelliteNi wakati wa kufanya kila linalowezekana Tigo walipie gharama za uovu walioshiriki dhidi ya wapinzani hapa nchini.
Hii itakuwa kwenye mahakama ya beberu, hakuna mtu mwenye akili atapeleka hii kesi Kwa majaji na mahakimu wanaotoa hukumu Kwa order za simuHii kesi itanguruma mpaka mwakani kisha uamuzi utatolewa wakati tukijiandaa na uchaguzi mkuu๐๐๐
Marehemu Mzee Ally, alikuwa na TiGo; vipi, Lema anatumia TiGO?Wale vijana walio tekwa walikuwa na TiGO? Kama majibu yote ni NDIYO, hapo kuna tatizo lililo wazi.Hakika, wametumika kama karatasi ya uani