Tigo inamilikiwa na nani?

Tigo inamilikiwa na nani?

Lkn twende pembe turudi nyuma . Bila kujali udhaifu, matumizi mabaya ya madaraka. Serkali kupitia vitengo vyake inaweza kuzitaka taarifa zako kwa matumizi sahihi kwa weledi kwa usalama wako .
Si tigo tu mawsiliano yoyote yanaweza kufuatiliwa.
Ukiacha tigo, voda n.k . Unapo install app zinakuambia zinaweza kusoma taarifa zako na wewe kwa kutaka app una click agree. Je umewahi kuhoji taarifa zako wakiziangalia wanampatia nani na kwa nini?

Kukosekana tu kwa weledi ndio mtu kwa kutumia cheo chake anazitumia sivyo.

Kwahiyo mitandao hawezi kulaumiwa ikiombwa taarifa za mteja na serkali kwa njia sahihi
 
Nazan suhala sio kutoa hiz taarifa kwa mamlaka na sio tigo tu ,apa wengi wanahoji na kushangaa huo urahisi wa kupata izo taarifa kwa kisingizio cha mamlaka ,mfano ili la leo yani mtu wa kampun anakil kwamba anatoa taarifa bila ata kujua kosa wala sababu ya ilo jambo ,suhala linakuja je wangap wanaweza kutumia mwaya huo kufanya aya mambo kwa kisingizio cha mamlaka ,ata kama ni utii kwa mamlaka nilizan kunakua na ugumu ambao unaweza kumfanya yule ambae anaitaji aya mambo kwa faida yake ashindwe kwa hali hii inaonyesha ukiwa na nafas fulan au uwezo fulan ni rahis kuzipata taarifa za mtu
Tatizo labda iwe matumizi yasio sahihi n njia zisizo sahihi kupata taarifa.
Kuhusu kujua anyehitjika ana kosa si kazi ya mtoa taarifa. Mengine ni kwa upelelezi na huishia huko huenda pasipo kwenda kuthitisha kosa.

Hii ni kwa taifa lolote chini ya jua
 
Hii sio tigo tu hata mitandao ya kijamii kama fb na nyinginezo ikionekana mtu ana mienendo ya kutilia shaka wao wanaripot kwenye mamlaka husika
Yaan mnawasiliana ili kufanya ugaidi ijulikane wenye mitandao wakae kimya kisa privacy hahaaaaa not to that extent
 
Linalosikitisha sio suala la usalama wa taifa, kampuni zoote za simu hazina siri tena nchini mwetu - ukimjua jamaa yeyote wa cyber crime akapokea mpunga basi habari ya namba yeyote atakupa taarifa zake na sauti juu bila kujali ni kwa suala lipi, hilo nimeliona kwa jamaa wengi na ndio mchezo wa mjini kwa sasa kujua siri za watu za kazi za kijamii n.k.

Ndio maana wafanya biashara wajanja hawatumii namba halisi na wanatumia ya wafanya kazi wao kuzisajili wakiogopa kudukuliwa, kwa sasa watu wanatumia maneno yenye fumbo kwa mambo yao mengi.
Hakuna usalama wala faragha tena .
 
Yaani ingelikuwa ni nchi ambazo watu wanajielewa, baada tu ya kauli ile ya bwana yule mahakamani basi effect yake ingeanza kuonekana kwa hisa za kampuni kushuka (kama zipo), wateja kuanza kujitoa na kuhamia mitandao mingine, n.k
 
Nashangaa kwa nini kina Kibatala hawaku test credibility ya ushahidi wake huyo popoma wa tigo kwa kurise ishu ya huo ushahidi wake dhidi ya kesi ya Abdul Nondo. Ndo muone huu ni mtandao ambao ofisi ya DPP imeutengeneza wa watu wa hovyo kutumika ktk kesi zao za kimagumashi kusumbua wapinzani.
 
20211102_225941.jpg
 
Inamilikiwa na Sacco's ya mtaa wa ufipa [emoji23][emoji1787]
 
Ctaki kuckia hili jina BRELA,,,wanakula hela za dhuluma. Ningerikuwa rais wa nchi ningerifutilia mbali mammaeee, na hasila sana hapa nilipo [emoji35]
Ningerikuwa

Ningerifutilia

Na hasila

Jifunze kuandika nyumbu
 
Ilikuwaje mtu kama yule Fredy, ambaye ni wazi kabisa, kwa kipimo chochote kile, ni low IQ, kuwa mwanasheria wa kampuni kama tigo?
 
Nazan suhala sio kutoa hiz taarifa kwa mamlaka na sio tigo tu ,apa wengi wanahoji na kushangaa huo urahisi wa kupata izo taarifa kwa kisingizio cha mamlaka ,mfano ili la leo yani mtu wa kampun anakil kwamba anatoa taarifa bila ata kujua kosa wala sababu ya ilo jambo ,suhala linakuja je wangap wanaweza kutumia mwaya huo kufanya aya mambo kwa kisingizio cha mamlaka ,ata kama ni utii kwa mamlaka nilizan kunakua na ugumu ambao unaweza kumfanya yule ambae anaitaji aya mambo kwa faida yake ashindwe kwa hali hii inaonyesha ukiwa na nafas fulan au uwezo fulan ni rahis kuzipata taarifa za mtu

kwamba ulitaka tigo waambiwe mawasiliano ya mbowe yanahitajika maana ana tuhuma za ugaidi ndipo watoe.

hiyo sio kazi yao,ndio maana kibataka akajiwa simple tu,sio jukumu letu kuhakikisha usalama wa mteja,polisi au TCRA wakichukua wakazibwaga sehemu isiyo sahihi huko watawajibika wao.
 
Back
Top Bottom