Tatizo labda iwe matumizi yasio sahihi n njia zisizo sahihi kupata taarifa.Nazan suhala sio kutoa hiz taarifa kwa mamlaka na sio tigo tu ,apa wengi wanahoji na kushangaa huo urahisi wa kupata izo taarifa kwa kisingizio cha mamlaka ,mfano ili la leo yani mtu wa kampun anakil kwamba anatoa taarifa bila ata kujua kosa wala sababu ya ilo jambo ,suhala linakuja je wangap wanaweza kutumia mwaya huo kufanya aya mambo kwa kisingizio cha mamlaka ,ata kama ni utii kwa mamlaka nilizan kunakua na ugumu ambao unaweza kumfanya yule ambae anaitaji aya mambo kwa faida yake ashindwe kwa hali hii inaonyesha ukiwa na nafas fulan au uwezo fulan ni rahis kuzipata taarifa za mtu
Tujikite Tigo tu kwa sasa kwa sababu maalumBadala ya kuhoji Tigo tu ungeuliza na makampuni mengine
Nyumbu utaziweza akili zao MUNGU pekee ndio anaejuaIle kampeni ya lema kutupa line ya voda mlishamalizana nayoo,au mihemuko kwanza ikiisha tunasajili line mpya
NingerikuwaCtaki kuckia hili jina BRELA,,,wanakula hela za dhuluma. Ningerikuwa rais wa nchi ningerifutilia mbali mammaeee, na hasila sana hapa nilipo [emoji35]
Tukiwa tunawaambieni tumieni Mtandao Bora na Uliobarikiwa hata na Mwenyezi Mungu wa Airtel muwe mnatuelewa tafadhali.
Atokee wapi?Kesho akija shahidi kutoka Airtel itakuwaje?
Nazan suhala sio kutoa hiz taarifa kwa mamlaka na sio tigo tu ,apa wengi wanahoji na kushangaa huo urahisi wa kupata izo taarifa kwa kisingizio cha mamlaka ,mfano ili la leo yani mtu wa kampun anakil kwamba anatoa taarifa bila ata kujua kosa wala sababu ya ilo jambo ,suhala linakuja je wangap wanaweza kutumia mwaya huo kufanya aya mambo kwa kisingizio cha mamlaka ,ata kama ni utii kwa mamlaka nilizan kunakua na ugumu ambao unaweza kumfanya yule ambae anaitaji aya mambo kwa faida yake ashindwe kwa hali hii inaonyesha ukiwa na nafas fulan au uwezo fulan ni rahis kuzipata taarifa za mtu