tiGO mnatufukuza wateja wenu bila kujijua

Diva is always on point. She just needs to work on presenting her points better so there is orderly continuity. Otherwise, I feel her sentiments.
 
Tuache ushabiki wa kijinga watu kupondana wewe uko perfect huyu dada anaongea ya kweli wewe ni kama mteja wa tigo lazima utakuwa unajua hizi ghadhabu ya mtatandao kutopatikana,internet ndo longolongo kabisa wengine mnaomponda kwa kuwachana tigo ni wafanyakazi wa tigo mnajaribu kufunika maozo yenu
 
Kila mtandao sasa mtauponda,mlianza na aitel,voda sasa tigo. Mi naona wote wezi tu,kama nchi yetu ilivyojaa majambazi.

Umeona eee unajua hivi ni vitu vya kizungu kama unashindwa RUDI KWENYE SANDUKU LA POSTA.Mambo ya "wako mtiifu",Tehe tehe tehe we unajua gharam za kuama ama line?
 
MKUU, si unajua tena simu (calls) zetu wabongo! Utasikia; "nimekupigia nikusalimie!" shenzi taipu! Kwa hiyo, mtu kama huyo hawezi kuona umuhimu wa kuacha ujumbe!

I really like this African culture,living in brotherhood all the time, not only when somebody is of help to you at a particular moment.
 
1.shika adabu musoma sio vijiji-kuna musoma mjini na vijijini
2.sasa binti izo ni swagga za kiutangazaji au?mana lugha maneno mengine sijakuelewa ata baada ya kuliwaindi
3.sawa nguo ni swala binafsi,ss km unajua hii video utai-upload huoni mauzo hayo?hahahaaa
4.DAH nina line ya tigo sema sijawai jua ivo vyote,kumbe ziko izo services?hahahaaa-apa angalau nimekuelewa tigo wasumbufu sana asa zile sms zao za usiku wa manane
5.sijawai kukusikia leo ndo nimekusikia-ofkoz clouds sisikilizi vipindi only power breakfast-mnaboa kishenzy
6.tuuzie video zingine binti kuna watu km mtoa mada apa eshakuzimia (kweli kipofu kaona mwezi)
 
Hawa Tigo...ni wezi....mtandao mbovu na kwa hali ilivyo sasa Tigo sio chip...Tigo is very expensive compare to Airtel....sure am telling....I have both line TIGO and Airtel now I conclude TIGO is expensive very expensive compare to Airtell....Guys no need keep on complain ......!!! just move quit Tigo !!!!!
 
Alafu siku hizi wameanza wizi mpya. Ukipiga simu kama mtu hapatikani wanakuunganisha direct na voice mail wewe huwezi jua kwa sababu huo muda nia ule ambao sauti zao huwa ziansema namba unayoipigia haipatikani na wanakukata pesa kwa huo muda wote. hoja hapa ni kwamba kwa nn wakuunganishe na huduma ambayo hauhiitaji na wanakukata pesa watu wa TCRA najua mpo hapa embu fuatilieni hili swala. Kwakwli nilipogundua huu wizi nilitamani niitafute laini yao mara moja. Inaboa sana huu ni wizi Tigoo.
 
Huo sio wizi mkuu,hii huduma inaitwa Voice mail na inawekwa na mwenye simu akiwa hapatikani kama vile wakati amezima simu yake au ipo busy,ni sawa na kumpigia simu,hivyo unatakiwa kuacha ujumbe wa sauti na yeye akiwasha anakuta ujumbe wako.Tatizo letu humu JF wengi ni vilaza tumezoea kulalamika na kuhukumu kabla ya kuchunguza.
 
mbona ni system ya kawaida sema ugeni wa wabongo ndo unasababisha malalamiko.Mtu hapatikan acha ujumbe issue simple hata USA hii ipo.I love tigo

we mkuu mtoni wanakuambia kabisa kama ni press one to leave a msg..lakini haya majizi hayakuambii vizuri unashangaa yashaanza kukata hela,ni huduma nzuri lakin mteja awe na maamuzi sio kama haya ya kulazimishwa..HAMA TIGO!
 
Jamani siyo tigo pekeyake! hata airtel ni wezi kuliko maelezo! sisi tuliopo mikoani celtel kwa dk ni tsh 90, tofauti na ukiwa dsm ambapo dk inakuwa tsh 48, uku vijijini wanatuibia sana hawa celtel a.k.a airtel, wote wezi tena mbwa kabisa kama c mapaka shume! wananikela sana au wameona sisi wote uku ni wachimba madini?
 
Nimechoka zaid pale wanaposema ni robo shilingi kuanza saa4 yan 0.25 kumbe wanakata robo tatu ya shiling yan 0.75!! Naihis wameshafiriska ndo mana wanafanya hv!
...Hawana kitu mbwembwe tu. Jana jioni nilikuwa nampigia simu mtu lakini ikawaonyesha kuwa aidha imezimwa au haiko mtandaoni. Kurudi kucheki salio wamelamba jero ah! nilishangaa sana.
 
Halafu kuna ka mkopo wanatoa, sasa ya kamkopo hako eti unaruhusiwa kupiga tig kwa tgo tu wakati unalipa pesa ambayo ni jasho lako.. Jamaa hawa bwana!
 
Halafu hata msg zinazogoma kwenda wanalamba tu. Voda nao ndo hawafai kabisa. Ukisafiri kwa kutegemea huko uendako utapata huduma ya M PESA. we jiandae kulala na njaa
 

Acha kuwatetea wezi wakubwa hawa...kwa huko ulaya unaposemawao wanakutaarifu kuwa baada ya mlio ambao utasikia ndio uwache message yako kwahiyo kama hutaki kuacha huo ujumbe unakata simu na wao hawachukui fedha yako lakini sio TIGO hii mjizi wao wanakata hata kabla wewe hujaacha huo ujumbe a wa maneno wanachuchua sakio kwa lazima hwa ni Wezi 100% Ama kweli Tanzania shamba la BIBI....Nani atasimama kumtetea Mtanzania ambaye yupo kule kijijini ambaye wala hakuji kama anaibiwa? Lakini kwa taarifa hawa siku zao za kufanya Biashara na kuendelea kuibia watu zinahesabika.......kwasababu nilitembelea pori moja sikutegemea kumsikia mwananchi wa level ile kuelewa kuwa TIGO ni Wezi lakini wao kwa wao walikuwa wanajadili na waliafikliana kuwa TIGO inawaibia.......Hatuna serekali aibu haiwezekani hawa watu wakawa wanawaibia wananchi halafu serekali ipo? Inaniuma sana yaani ninahasira nao kwa maaana hawa TIGO wao pia ni mafisadi hawa ...Serekali gani inaruhusu matangazo ya kitapeli ya kuwaibia watu wake? Kwasababu kile kinachiotangazwa sio kilivyo hawa TIGO ni Wezi na Matapeli wakubwa!!!!! TCRA mpo wapi ??? Manafanya nini??? Hivi hamjui kuwa TIGO inaibia wanannchi??
 
tiGo wezi kwa kweli toka waanze hii promotion ya pata mara mbili ndo tunazidi kuibiwa, kwa sasa dakika moja sh. 100!
 
Mi wananikata huduma ya tigo internet kila siku hata kama sijajiunga huu ni wizi naomba ushauri wa kisheria niwashitaki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…