tiGO mnatufukuza wateja wenu bila kujijua

Ondokeni wwote kwanza ninyi ndo mmeleta ukimeo kwenye mtandao tuacheni tubaki wachache bwana!
 
Kule kwenye Facebook hata ukiwauliza hawajibu kazi ni kuletaa mitangazo yao ya promotion tu!
Ndo maaana sisi tumehamia Air Tell
 
Tena ni Hovyo kabisa kwa wiki sasa wanakula pesa kama nini, ukipiga kidogo tu buku imekwisha! We acha tu!
 
Bora muondoke mtandao utakuwa mzuri, simu zenu za kichina zinafanya nertwork inakuwa na matatizo.

Unakuta mtu kababe BlackBerry 3 za kichina unategemea nini
 
duh!watu bado mnatumia tigo?acheni kabisa!mod ondoa hii thread!haistahili jukwaa la siasa
 
TIGO inachukua nafasi hii kuomba msamaha kwa matatizo yaliyojitokeza. Kwa tatizo lolote kama hili PIGA *148*01# ili upate msaada wa haraka iwezekanavyo. Uongozi wa TIGO bado tunaamini kuwa tunaongoza kwa kutoa kile kitu ambacho wateja wetu wanakihitaji. TIGO, kwa pamoja tusemeeeeeeee, EXPRESS YOURSELF.
 

Nyoooooooo!
 

mwe mwe mwe.....voda ndo wanoko mpaka basi....yani haya mamitandao yote ni magumash tu cjui nihamie wapi?
 
Nimekuwa nikitumia tigo tangia mwaka 2003,nimeacha nayo tangia tarehe 23 mwezi 9 ,naapa sitaitumia tena kutokana na huduma zao duni kupindukia kwa sasa,ilisababisha nikose dili moja hivi hivi baada ya kunizingua siku nzima.
 
Wote majizi tu haya makampuni yamekalia kuiba tuuu ovyo gvt legelege TCRA mko wapi!!!
 
tigo hawafai..shame on u tigo..ndo mana jina linatafsiriwa vibaya..bora nihamie zantel...just 500tsh you get 15min+300sms etc
 
Tigo wamechemsha ile mbaya!!!days are numbered 4 them
 
Nilishawastukia muda mrefu sana, nikaiweka pembeni line yao, leo nikakumbuka kuwa wananidai nikaweka hwani na kulipa deni lao, then nimeifukia tana....
Sasa hivi nafurahia maisha na Zantel unaweka buku unaongea zaidi ya dk 40.
 
Mmmh jamani tigo tu ? mimi nimetumia tzs 87 kwa sekunde 30 AIRTEL. hii naona ni kama tzs 3 kwa sekunde 87TSH/30Sec= 2.9TSHS/SEC. hiyo nusu shillingi ipo wapi, na hii ni AIRTEL to AIRTEL
 
Mmmh jamani tigo tu ? mimi nimetumia tzs 87 kwa sekunde 30 AIRTEL. hii naona ni kama tzs 3 kwa sekunde 87TSH/30Sec= 2.9TSHS/SEC. hiyo nusu shillingi ipo wapi, na hii ni AIRTEL to AIRTEL

nusu shilingi VAT EXCLUSIVE.
 
Mitandao yote ni majizi, hakuna mwenye afadhali.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…