Trainee
JF-Expert Member
- Sep 22, 2018
- 2,660
- 3,501
Unawapa taarifa ya mtandao kusuasua wanalazimisha kukuelekeza settings za simu usipokuwa makini wanajidai wameshasolve tatizo na wanakukatia simu
Kwa yule ambaye yupo makini anawabananisha wanakosa hoja basi wanaanza kuuliza maswali kibao yasiyo na kichwa. Eti mteja anaulizwa kama tatizo hilo linakwepo hata akihama eneo alilopo sasa mmeniajiri mpaka mnipe hiyo kazi ya kusurvey!
Kwa yule ambaye yupo makini anawabananisha wanakosa hoja basi wanaanza kuuliza maswali kibao yasiyo na kichwa. Eti mteja anaulizwa kama tatizo hilo linakwepo hata akihama eneo alilopo sasa mmeniajiri mpaka mnipe hiyo kazi ya kusurvey!