Tigo na Yas, Lila na fila

Tigo na Yas, Lila na fila

Kwa namna walivyotohoa kutoka katika mazingira hayo hatarishi

Namna pekee ni kutoungana nao maana inaonesha dhahiri hawa ni wanaharakati wa ndoa za jinsia moja mkuu.

Ningeshauri pia serikali mbali na kujali kulipwa kodi tu haitoshi

Waangalie kwa jicho la tatu dhamira yauwekezaji wa hawa tu aina hii.
Hawana ubavu hata chembe kulikataa. Tayari walishapata kibali cha BRELA . hao ndio walipaswa kulikataa in the first place
 
Tungekuwa na wafanyakazi competative BRELA . Cha kwanza wangefanya utafiti wa hilo jina kabla ya kulipitisha.. Lakini kwenye hizi taasisi za serikali kinachoangaliwa na kupewa kipaumbele ni maokoto. Urefu wa kamba😭🤬
Tuna maelfu ya bidhaa ziko chini ya viwango lakini zina nembo ya TBS..,🥺🤔
 
Ni kama kuna mwamba kaondoka na file muhimu..kila kitu hakiko sawa tena.
 
Tunaweza kudhani ni coincidence lakini kuna vitu vilo kiroho zaidi

Mtandao wa Tigo ulipata umaarufu hasi baada ya kubadili jina lake la zamani la Buzz lililotoka kubadilisha na Mobitel

Tigo ilifika mahali kulitamka mbele ya watu ilikuwa ni ukakasi kwakuwa lilinasibishwa na kafanya mapenzi kinyume na maumbile

Sasa limebadilishwa na kuwa Yas .. Watu wameshafukunyua na kulitafsiri kuwa lina vinasaba na ushoga.

Tayari linataka kutoholewa liitwe Nyashi ambapo kwa Wakenya nyasi ni makalio.

Je, wamiliki wataweza kujinasua kwenye hili tope la umaarufu hasi?
Nyash ndiyo ina sound vizuri waachane na hiyo yas
 
Tunaweza kudhani ni coincidence lakini kuna vitu vilo kiroho zaidi

Mtandao wa Tigo ulipata umaarufu hasi baada ya kubadili jina lake la zamani la Buzz lililotoka kubadilisha na Mobitel

Tigo ilifika mahali kulitamka mbele ya watu ilikuwa ni ukakasi kwakuwa lilinasibishwa na kafanya mapenzi kinyume na maumbile

Sasa limebadilishwa na kuwa Yas .. Watu wameshafukunyua na kulitafsiri kuwa lina vinasaba na ushoga.

Tayari linataka kutoholewa liitwe Nyashi ambapo kwa Wakenya nyasi ni makalio.

Je, wamiliki wataweza kujinasua kwenye hili tope la umaarufu hasi?
Mmh
 
Tunaweza kudhani ni coincidence lakini kuna vitu vilo kiroho zaidi

Mtandao wa Tigo ulipata umaarufu hasi baada ya kubadili jina lake la zamani la Buzz lililotoka kubadilisha na Mobitel

Tigo ilifika mahali kulitamka mbele ya watu ilikuwa ni ukakasi kwakuwa lilinasibishwa na kafanya mapenzi kinyume na maumbile

Sasa limebadilishwa na kuwa Yas .. Watu wameshafukunyua na kulitafsiri kuwa lina vinasaba na ushoga.

Tayari linataka kutoholewa liitwe Nyashi ambapo kwa Wakenya nyasi ni makalio.

Je, wamiliki wataweza kujinasua kwenye hili tope la umaarufu hasi?
Nyashi ni makalio kwa wanaijeria.

Wakenya wameiga tu
 
Tunaweza kudhani ni coincidence lakini kuna vitu vilo kiroho zaidi

Mtandao wa Tigo ulipata umaarufu hasi baada ya kubadili jina lake la zamani la Buzz lililotoka kubadilisha na Mobitel

Tigo ilifika mahali kulitamka mbele ya watu ilikuwa ni ukakasi kwakuwa lilinasibishwa na kafanya mapenzi kinyume na maumbile

Sasa limebadilishwa na kuwa Yas .. Watu wameshafukunyua na kulitafsiri kuwa lina vinasaba na ushoga.

Tayari linataka kutoholewa liitwe Nyashi ambapo kwa Wakenya nyasi ni makalio.

Je, wamiliki wataweza kujinasua kwenye hili tope la umaarufu hasi?
Majina yote ya huu mtandao yana utata sana kuanzia Mobitel (Kimobiteli-Mwanamke machepere), tukaja Buzz (sisi tunaita Buzi-Mwanaume muhongaji), tukatembea na Tigo iliyotuletea Makalio yanayoingiliwa, sasa tupo na Yas ambayo huko kwa walatino ni neno linalomaanisha utamu anaoupata shoga.

Majina ya hawa jamaa yapo sambamba na misemo ya ngono huku soko lao kuu ni vijana
 
Back
Top Bottom