Tigo na Yas, Lila na fila

Tangu zamani huu mtandao ulianza kuonyesha dalili za ushoga
 
Aisee ni kweli kabisa 😂
 
Acheni kuvuruga biashara za watu. Au mmetumwa na washindani wao?
 
Na hiyo mix by yas ni kama kusema mix my ass , Naona kama ina sound the same

All in all mtandao unasumbia sana. Mpaka sasa napata kinywaji sijui nalipaje na hela ipo kwenye simu
Hahahhaah.. Nimecheka kweli.... At mix my... Watu mna maneno
 
Si hao tu......kuna wengine wana slogan ati ''KITU KIMESIMAMA'',,,,,astakafir walahi...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…