Tigo pesa imerudisha menu tu mazinguzi bado pale pale

Tigo pesa imerudisha menu tu mazinguzi bado pale pale

Tigo pesa wamerudisha menu ingalao unaziona lakini ukifuata maelekezo hadi kwenye kutumia pesa inazingua eti uulize huduma kwa wateja. Tigo pesa ilivyonifanya vibaya sina hamu
Tumia ile namba yao ya voda
 
Tigopesa imedukuliwa, huenda pesa zenu zisiwe salama tena.
 
kuna watu wamekuta salio lao limeongezeka mara kumi wengine wanadai ukitoa pesa salio halipungui linabaki vile vile kifupi mtandao hausomi umechanganyikiwa watu wanasherekea tu pesa za bure jaribuni mlete mrejesho

Sent from my OPPO A57 using JamiiForums mobile app
 
Usiweke pesa yako nyingi kwenye mitandao ya simu
...Mbona somo lipo siku zote hapo kwa msemo tpfauti??
'Usintuze Mayai yako yote kwenye Kapu Moja!'
Wewe inaelekea ulifanya hivyo, Mkuu!
 
TIGO NI OVYOOO KABISA bando zao juu hawana unafuu na msg zao nyingi za mkopo serikali itazameni hii kampuni
 
Back
Top Bottom